Serena Williams afunga ndoa na Alexis Ohanian

Numbisa

JF-Expert Member
Dec 12, 2016
268,999
1,098,513
Serena Williams amefunga ndoa na mwanzilishi mwenza wa Reddit Alexis Ohanian katika harusi kubwa iliojaa mbwembwe za aina yake ya mwaka huu.
Nyota akiwemo Beyonce, Kim Kardashian na Eva Longoria walikuwa katika harusi hiyo iliofanyika katika eneo la New Orleans siku ya Alhamisi.
Sherehe hiyo ilikuwa na wageni 200 katika orodha ya wageni kulingana na vyombo vya habari.
Eneo moja kubwa la mji lilifungwa kwa sherehe hiyo ambayo ilifanyika katika kituo cha Contemporary Arts Center.
Wageni wengine ni pamoja na nyota Caroline Wozniack, Kelly Rolland ,Ciara, La La Anthony na muhariri wa jarida la Vogue Anna Wintour kulingana na gazeti la daily mail.
Limeripoti kwamba harusi hiyo iligharimu dola milioni 1 huku wageni wakiagizwa kutoingia na simu zao kutokana na mkataba na jarida la Vogue.
23594539_174867143096191_4500902813110370304_n.jpg


Serena alijifungua mtoto wao wa kwanza wa kike Alexis Olympia, miezi miwli iliopita.

Updates
Nyota wa tenisi Serena Williams atarejea uwanjani huko Abu Dhabi wiki ijayo miezi minne baada ya kujifungua.
Serena mwenye umri wa miaka 36, atakutana mchezaji nambari saba duniani Jelena Ostapenko tarehe 30 Disemba wakati wa mechi ya ubingwa wa dunia ya Mubadala
 
Serena Williams amefunga ndoa na mwanzilishi mwenza wa Reddit Alexis Ohanian katika harusi kubwa iliojaa mbwembwe za aina yake ya mwaka huu.
Nyota akiwemo Beyonce, Kim Kardashian na Eva Longoria walikuwa katika harusi hiyo iliofanyika katika eneo la New Orleans siku ya Alhamisi.
Sherehe hiyo ilikuwa na wageni 200 katika orodha ya wageni kulingana na vyombo vya habari.
Eneo moja kubwa la mji lilifungwa kwa sherehe hiyo ambayo ilifanyika katika kituo cha Contemporary Arts Center.
Wageni wengine ni pamoja na nyota Caroline Wozniack, Kelly Rolland ,Ciara, La La Anthony na muhariri wa jarida la Vogue Anna Wintour kulingana na gazeti la daily mail.
Limeripoti kwamba harusi hiyo iligharimu dola milioni 1 huku wageni wakiagizwa kutoingia na simu zao kutokana na mkataba na jarida la Vogue.
View attachment 632724

Serena alijifungua mtoto wao wa kwanza wa kike Alexis Olympia, miezi miwli iliopita.
Hongera yake
 
Mwenzangu sio vibebeo tu,bibie ananyonyesha ze mtindi imekua kubwa km ya mie.....
Style ngumu sana kwa sie wenye majaliwa yetu otherwise ndo ukubaliane na hiyo hali

ila naamini kuna maarifa yamepotea kwenye hilo gauni kwa kweli. Wewe ukishona kwa Fundi Juma atafanya jambo. ITAPENDEZA tu
 
whitehorse said:
ila naamini kuna maarifa yamepotea kwenye hilo gauni kwa kweli. Wewe ukishona kwa Fundi Juma atafanya jambo. ITAPENDEZA tu
Hahahahaaaa nani kasema tena ndo ntalikutia gauni kitovun ama bra ihusike,na fashoooo ndo ishakufa.
mbona hayo mengine yamekaa mkao
Apo pakukutanisha maziwa hapakustahili kua hvyo kwa mtu mwnyw ziwa..........hivi hakulijaribu kabla
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom