Nafahamu kuwa Chadema kinaamini katika sera ya ubepari na kwamba kama chama wana uhusiano wa karibu na vyama vya kibepari duniani i.e. Conservative (UK) and Republican (US)
Ubepari kama sera na mtazamo wa chama ukitekelezwa hauna tija kwa mfanyakazi mnyonge au mkulima maskini. ubepari kazi yake ni kusimamia maslahi ya wenye mitaji ...i.e. wenye pesa
Je sera ya ubepari kwa chadema ni kwa ajili ya nani? au kwa faida ya nani?.
Ubepari kama sera na mtazamo wa chama ukitekelezwa hauna tija kwa mfanyakazi mnyonge au mkulima maskini. ubepari kazi yake ni kusimamia maslahi ya wenye mitaji ...i.e. wenye pesa
Je sera ya ubepari kwa chadema ni kwa ajili ya nani? au kwa faida ya nani?.