Sensa 2012: Yanayojiri

Sensa 2012: Yanayojiri

Ni ujinga kwani hao walipotoka huko station hawajakata ticket??? Kwann wasichukua takwimu za kwenye Rail station?
Wazamiaji wa bila ticket na wale wa mission town ni wengi kuliko hizo ticket za stesheni, cheza wewe!
 
Mpaka sasa, idadi kubwa ya waislamu wamegoma laivu bila kujificha. Msikubali kudanganywa. Watu wengi nilio ongea nao wameniambia wamekataa kuandikishwa. Nimeaongea na mwandishi mmoja wa sensa akaniambia hali ni tete serekali imekula hasara kwa kiburi chao. Tunasubiri mswada bungeni wa kutokua na imani na rahisi. Tuchague raisi mwengine.
Ningefurahi waislamu wangegomea kupiga kura
 
551633_279319032169526_1913081750_n.jpg
Hapa hata ukimuuliza kipofu hawa ni nani atakwambia ni Waislamu.
 

Wako watu amboa ni victims wa VYOMBO HURU VYA HABARI NCHINI?????????. NA MPAKA RAISI WAO KAWATISHA. USISHANGAE WATU KAMA HAO KWENYE PICHA KUANDIKISHWA. KAKA SOMA PICHA VIZURI.
 
hongera lol
mie sihesabiwi
'siasa kali' lol

Hahahaha kuna jamaa uko knjari katoa option ya kuhesabiwa ukiwa rumande, sasa ujue huko hata Mwali akija na @bwan'chuchu hutoki! Lol
 
Last edited by a moderator:
Kumbe ukitaka chadema na kanisa wasupport ccm, ni simple sana. Jk kweli ni zaidi ya mwanasiasa.
 
you the biggest dumb brain washed , cha ajabu you are brain washing yourself and your fellow wajinga!

sensa si mara ya kwanza kufanyika nchini na kipengele cha dini hakipo siku zote, leo hii kipengelke cha dini mnakitaka kwa maslahi gani? mumetumwa? mantumia masaburi kufikiri?

ujinga kweli ni mzigo!

Ndugu yangu sijui nikwambieje. You are so brain washed. Sensa hii, ijue idadi ya walemavu, idadi majumba ya ibada, idadi ya mifugo. Lakini sio idadi ya watu kwa mujibu ya dini zao. Vipi serekali itapanga mipango yake in focus of the diversity of its people. Nini kimepelekea kuchinja pundamilia kwa wadzabe kama wasingejua the diversity of the tribe. Yaani kama hili ni swali umeulizwa darasani halafu ukalijibu bila kujumuisha kipengele cha dini. Sidhani kama ungelifaulu kwa kiwango cha juu. Yaani kutokujua watu kulingana na dini zao sio logic ya sensa yoyote duniani. Nadhani wewe hapa ndio mjinga. Brain washed.

 
Re: SENSA IMENIINGIZIA HASARA
Nimeamka mapema leo nikasema hata kanisani siendi. Nikajiandaa kufanyafanya usafi geto nkaandaa chai na mikate nkapaka mingine jam, peanut butter na mingine blubendi ile ya prestige. Chai niliandaa thermos moja ya rangi ingine maziwa.
Nikaenda kuoga kabisa nikaa kwenye kochi nasoma zangu kitabu cha "Tough times never last, but tough people do" by Robert H. Schuller.
Nimengoja weeeee mpaka saa nne nikampigia rafiki yangu anakaa pale karibu na ferry kabisa kumuuliza vipi labda wameanzia uko kwao so wamechelewa. Akanijibu bado. Basi nikasema watafika mchana.
Nikaenda sokoni fasta wasije wakanikosa wakija...nkanunua maini nusu kilo jamaniiii...nusu kilo maini unajua ni buku nne??! Dah ngoja nifute machozi...
Nkaja home fasta nkamuliza shem wamepita? Akanambia bado nkafurai mm basi fasta nkaingia jikoni kuandaa msosi..ugali maini na mboga ya mchicha pembeni food for four pipoz...
Nkafunika kwa hotpot kabisa. Sa sita..saba..nane..tisa..kumi...kumi namoja na sasa ni 17:43.
Muda wangu wa kwenda mazoezi umepita sijaenda nkidhan watakuja wasinikute. Mechi ya watani zangu Arsenali sijaenda kuangalia kisa wao...
Kwanini lakini wananifanyia ivi? Huku kigamboni vipi hampiti? Mmegoma? Mnawaogopa wapemba ama? Kwann lakini mmeniingiza hasara ivi..kama hamji si mngesema..
Mwenyekiti wa mtaa asubuhi alikua amefunga ofisi..nimepita apo mida hii kuna prado ipo nje wako ndan na nani sijui au mnataka kupika matokeo ya kigamboni?? Wallahi kama sihesabiwi haponi mtu...
Nmemwaga chai ile..naosha vyombo sasa. Najishauri mechi ya liverpool nikaichek ama nisiende? Je bado watakuja? Wanafunga kazi saa nhapi?
Kuanzia jumatatu ntakua natoka kazini jioni mno sasa itakuaje??
Dah...na hii lunch nan atansaidia kula? Heri ningepika wali ningeweka kwa fridge..sasa ugali naufanyiaje mm??!
Wai...jamanieee waambieni wavuke basi.
Au watanikuta kibanda cha kuoneshea mpira. Siezag kuqngalia mpira kwangu mm...inaboa.
Nalog off...mia. Heheh
 
Nijuavyo mimi sensa itaendelea through 7days. Sasa kisa cha kuwasimamisha abiria ninini? Na wewe umekubaliana na jambo hilo?
Ungekuwa uchaguzi ningeelewa.

Mtu anahesabiwa pale alipolala usiku wa kuamkia leo. Kama uko safarini na hujahesabiwa ulipokuwa usikuu huo inamaana hutahesabiwa tena. Kuna watu wengine wamehesabiwa wakiwa disco! Sensa itaendelea kwa siku saba kwa wale walolala majumabani mwao.
 
....Waliotakiwa kupita maeneo yako kukamilisha zoezi hili la kuhesabu watu wamegoma wanadai malipo yao yamekuwa kiduchu kuliko walivyoambiwa labda kama watalipwa masalio ya malipo yao basi watapita kati ya kesho na September 26, 2012.

Nimesubiri kuhesabiwa tangu asubuhi hapa Mbezi beach mpaka mida hii hakuna cha karani wala mjube kapita,sasa najiuliza kama wasipokuja leo itakuwaje maana mimi na mume wangu ni watu wa kuhangaika na tukitoka wote kunabaki mlinzi?
 
you the biggest dumb brain washed , cha ajabu you are brain washing yourself and your fellow wajinga!

sensa si mara ya kwanza kufanyika nchini na kipengele cha dini hakipo siku zote, leo hii kipengelke cha dini mnakitaka kwa maslahi gani? mumetumwa? mantumia masaburi kufikiri?

ujinga kweli ni mzigo!

ILI KUJUA WHO IS THE BIGGEST DUMB HERE HEBU FANYA HII SWALI la MATHEMATICS KAMA UNAVYO JIITA WEWE MWENYEWE. HII NI KWA AJILI YA KUTEST UWELEWA WAKO NA MENTAL INDEPENDENCE YAKO. Maanake tunaweza kujaza watu bure hapa.

SWALI: 1+1+1 = ?

(a) 2
(b) 1
(c) 3
 
Kwahiyo na wewe umeshinda msikitini?

Kwahiyo kumbe wasiotaka kuhesabiwa wameenda kushinda misikitini?Kugomea sensa kuna tofauti gani na kugomea nafasi ya kupata maendeleo?halafu kunapotokea unequal balance,yani maeneo ambapo hawakuhesabiwa,ukakuta kuwa namba yao inaonekana kuwa ni ndogo na hivyo vitu kama zahanati na vituo vya afya ambavyo serikali inatakiwa iprovide endapo population ya maeneo hayo ni namba flani,wanajikuta wakikosa na kuwakosesha wengine opportunity.

Mfano juzi niliona Dr Slaa akitoa mfano kwamba eneo lenye watu 50,000 kama sikosei,wanatakiwa wafunguliwe zahanati,na namba ikiwa juu zaidi(sikumbuki exact figure), inatakiwa kuwe na kituo cha Afya.Kwahiyo kwa kifupi huu ususiaji kwa upande mwingine ni kama kuukata mti wa tawi ulolikalia.Na pia wanawanyima wenzao opportunity za kujipatia maendeleo,no wonder tumebakia kwenye umasikini.
 
Mie najiandaa kubandika bango langu la "Nyumba hii ni ya waislam hatuhesabiwi" ili huyo kalani wenu asijisumbue kufika hata uwani kwangu.
Sensa hii itaonyesha jinsi wakristo tulivyo wengi.
 
ALHAMDULILAHI. NIMEFAULU MTIHANI WA IMANI YANGU. NASHUHUDIA KUA HAPANA MOLA APASAE KUABUDIWA KWA HAKI ISPOKUA ALLAH(S.W) NA MTUME MUHAMAD (S.A.W) NI MJUMBE WAKE. LEO TAREHE 26 August,2012, mida ya 11:57 jioni, nimekataa kuandikishwa katika SENSA. NA AHIDI KUA NITABAKIA MUISLAMU MTIIFU KWA MOLA WANGU, NA VIONGOZI WENYE MAMALAKA MIONGONI MWETU SISI WAISLAMU. NIKOTAYARI KUITUMIKIA DINI YANGU YA KIISLAMU WAKATI WOWOTE NA MAHALA POPOTE NITAPO HITAJIKA. SIO GOPI MANENO WALA RISASI ZA MOTO. KILA NAFSI ITAONJA MAUTI. ALLAHU AKBAR, ALLAHU AKBAR, ALLAHU AKBAR.
 
Kiongozi wa uamsho ahesabiwa pamoja na kuwa na bango lake la kugomea sensa. Kupitia mtoto wake. Source. Fb issac ankali babu
 
Back
Top Bottom