Sasa alisimama nyuma yake kwanini? Wanawake bila kupiga viganja vichache akili haziji kabisa
Piga mama yako
Sasa alisimama nyuma yake kwanini? Wanawake bila kupiga viganja vichache akili haziji kabisa
Wanawake wanapenda umbeya
[emoji16][emoji16][emoji16] acha kumzarau mwanamke!!!
Very unprofessional hiyo! Huyu afisa achukuliwe hatuna na natarajia cwt watoe tamko na kuomba utumishi wamsimamishe kazi huyo afisa,hawa jamaa washalewa sifa za kijinga! Badala ya kupambana na ufisadi kwy halmashauri unapiga mwl wa watu hata laki tano mshahara wake haufiki,ujinga kabisa huo.
Unajua takukuru ni jeshi. Pengine sheria inamruhusu kumkarabati raia!!!!!!!Sheria ifate mkondo wake atamzabuaje vibao kwa kosa la kusimama nyuma yake...walimu mna mateso sana
Hakuna kitu kama hichoUnajua takukuru ni jeshi. Pengine sheria inamruhusu kumkarabati raia!!!!!!!
Kwa nini involuntary action kila mara kwa walimu tu?Acha utani wewe!Msilikuzeee sana hiyo ni involuntary act inaweza kukutokea, iliwahi kukutokea na baada ya kitendo unajilaumu mwenyewe kwa kile ulichokitenda. Duniani kuna viumbe wengine wasioonekana wanaoweza ku ku control bila wewe kujijua hivyo wakati unalaumu hilo jiangalie wewe mwenyewe hujawahi kukutwa na kitu kama hicho au kinachofanana na hicho?
Mwanamke kusimama nyuma ya mwanaume mimi sioni kama linaweza kuwa tatizo kama mwanaume kusimama nyuma ya mwanaume mwenzie au nyuma ya mwanamke...Sasa alisimama nyuma yake kwanini? Wanawake bila kupiga viganja vichache akili haziji kabisa
Unamfahamu hadi useme laki tano haifiki.Very unprofessional hiyo! Huyu afisa achukuliwe hatuna na natarajia cwt watoe tamko na kuomba utumishi wamsimamishe kazi huyo afisa,hawa jamaa washalewa sifa za kijinga! Badala ya kupambana na ufisadi kwy halmashauri unapiga mwl wa watu hata laki tano mshahara wake haufiki,ujinga kabisa huo.