Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 25,448
- 46,216
Anaenda kujazia uzito wa kesi hapo,na nafasi kama hizo hazijagi mara mbili.Pole yake teacher.Kofi moja mpaka hospital.
Anaenda kujazia uzito wa kesi hapo,na nafasi kama hizo hazijagi mara mbili.Pole yake teacher.Kofi moja mpaka hospital.
"Involuntary actions" unazijua? Au jamaa alikua anaumwa degedege na kifafa? Haiwezekani mtu asimame "nyuma yake " ghafla apigwe vibao. Kwani muhusika aliyesimamiwa nyuma ni ke or me?Msilikuzeee sana hiyo ni involuntary act inaweza kukutokea, iliwahi kukutokea na baada ya kitendo unajilaumu mwenyewe kwa kile ulichokitenda. Duniani kuna viumbe wengine wasioonekana wanaoweza ku ku control bila wewe kujijua hivyo wakati unalaumu hilo jiangalie wewe mwenyewe hujawahi kukutwa na kitu kama hicho au kinachofanana na hicho?
Brother ukiwa na ma stress ya ajabu ajamu kunaweza kuufunya ubongo ukafanya kitu sympathetically kwa lengo la ku regulate hicho kitu cha gafla na kukusababishia kichaa cha muda na kufanya kitendo ambacho hujapanga wala kingigetarajiwa kufanywa na mtu yeyote mwenye uwezo wa kungamua baina ya jema na baya. Hivyo usiamini kuwa matendo kama kifafa (R. v. Tomson Msumali (1969) H.C.D. n. 26 (N.C.D. n. 370) ama kupiga chafya (Anthony Mhikwa v. R. (1968) HCD n. 460) Ndio involuntary action pekee kuna zingine zinasababishwa na provocation na kukusababishia kichaa cha muda na kukuletea kufanya jambo ambalo usingelifanya kama ungekuwa na akili timamu."Involuntary actions" unazijua? Au jamaa alikua anaumwa degedege na kifafa? Haiwezekani mtu asimame "nyuma yake " ghafla apigwe vibao. Kwani muhusika aliyesimamiwa nyuma ni ke or me?
Ulikuwepo kwenye tukio? Hebu tueleze chanzo maana haiwezekani mtu akuchape kofi bila wewe kumuanzaTaarifa zilizonifikia ni kwamba;
Kama kichwa kinavyo jieleza tukio limetokea leo Halmashauri ya Wilaya ya BUCHOSA wilaya ya SENGEREMA MKOA WA MWANZA ambapo Afisa mmoja wa TAKUKURU amemlamba makofi mwalimu wa kike (jina linaifadhiwa) wa shule ya msingi (jina linahifadhiwa) wakati wa uhakiki wa vyeti kwa watumishi wote wa umma wa Halmashauri hiyo kwa kosa la kusimama nyuma yake wakati zoezi likiendelea.
Afisa huyo anashikiliwa na polisi mpaka sasa, kwenye kituo cha polisi cha KATA YA NYEHUNGE ambapo zoezi hilo linafanyika, wakati mwalimu akiwa hospitali kwa matibabu ya michubuko aliyoyapata.
Hii ni mwendelezo wa vichapo na udhalilishaji kwa waalimu ambao wanaonekana kutokuwa nathamani mbele ya kada zingine za kiutumishi.
Mpaka sasa suala hilo lipo mikononi mwa polisi, wizara usika na vyombo vyenye dhamana mtende haki kulinda heshma ya mwalimu.
taarifa inasema, afisa TAKUKURU alikua anaendelea na ukaguzi wa vyeti huku watumishi wakiwa wamemzunguka, mhusika alikuwa nyuma ya afisa takukuru kitendo kilicho mkwaza ama kumkera na katika kumwambia ampishe ndipo zoruba la kibao kumkuta mwalimu husika!!!Ulikuwepo kwenye tukio? Hebu tueleze chanzo maana haiwezekani mtu akuchape kofi bila wewe kumuanza
Kweli mkuu kada hii inaonekana kama ni utumwajaman walimu. ila huyo mtakukuru amefanya makosa kwa nini achukue sheria mkononi? kama huyo mwalimu alifanya kosa alipaswa ampeleke kwenye vyombo husika na si kumpiga. kwa mfano angefanya mwanajeshi angempiga? imefikia wakati walim tumechoka kuonewe
Hatutaki sayansi hapa, huyo ofisa akaozee jela, tumechokaaaaaaaaMsilikuzeee sana hiyo ni involuntary act inaweza kukutokea, iliwahi kukutokea na baada ya kitendo unajilaumu mwenyewe kwa kile ulichokitenda. Duniani kuna viumbe wengine wasioonekana wanaoweza ku ku control bila wewe kujijua hivyo wakati unalaumu hilo jiangalie wewe mwenyewe hujawahi kukutwa na kitu kama hicho au kinachofanana na hicho?
natafuta namna ya ku upload video nlo tumiwa