Tutafika
JF-Expert Member
- Nov 4, 2009
- 1,443
- 636
Na ungekufa kweli!Mi ningefia hapo Kwa huyo mtakukuru mana sipendi DHARAU
Na ungekufa kweli!Mi ningefia hapo Kwa huyo mtakukuru mana sipendi DHARAU
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji109] [emoji109] [emoji125] [emoji125] [emoji125]Sasa alisimama nyuma yake kwanini? Wanawake bila kupiga viganja vichache akili haziji kabisa
Hapo ndipo tunapopenda kuchanganya usomi wetu na tahaluma nyingine, huku tukiharibu maana nzima ya jambo.Brother ukiwa na ma stress ya ajabu ajamu kunaweza kuufunya ubongo ukafanya kitu sympathetically kwa lengo la ku regulate hicho kitu cha gafla na kukusababishia kichaa cha muda na kufanya kitendo ambacho hujapanga wala kingigetarajiwa kufanywa na mtu yeyote mwenye uwezo wa kungamua baina ya jema na baya. Hivyo usiamini kuwa matendo kama kifafa (R. v. Tomson Msumali (1969) H.C.D. n. 26 (N.C.D. n. 370) ama kupiga chafya (Anthony Mhikwa v. R. (1968) HCD n. 460) Ndio involuntary action pekee kuna zingine zinasababishwa na provocation na kukusababishia kichaa cha muda na kukuletea kufanya jambo ambalo usingelifanya kama ungekuwa na akili timamu.
Ati anaogopa kusimamiwa nyuma yakhe, au atokea kwenu huko?Aisee kumbe na TAKUKURU nao wanaihati KATIKIKIRI iwachunguze.
Sasa si angetumia Lugha nzuri tu kumuambia,maana kama ni kusimama inawezekana lengo ilikuwa ni kumfahamisha pale kwenye utata.
Halafu sijui kwanini TAKUKURU mpaka issue itoke kwenye vyombo vya habari ndio wao waende wakachunguze,yaani haiwezekani wao wenyewe kuhisi sehem kuna kitu wafuatilie mpaka issue ikitolewa na wanahabari basi na wao mbioo.
Halafu Number yao waliotuma kwenye sim ya 113 kama sikosei naona majanga tu,yenyewe inatakiwa ichunguzwe
Hivi nikuulize kitu limitation ya defense ya provocation inakua applied katika masuala yapi?Sawa lakini ujue maisha ni conflict hivyo tatizo linamtokea kila mmoja na baada ya kupatwa tatizo ndipo unatafuta namna ya kulisawazisha na sio kulikoleza moto , kila mtu hukosea leo kwake kisho kwako.
lia tu maumivu yakiisha utanyamazaNatamani Kulia!
Kama kichwa kinavyo jieleza tukio limetokea leo Halmashauri ya Wilaya ya BUCHOSA wilaya ya SENGEREMA MKOA WA MWANZA ambapo Afisa mmoja wa TAKUKURU amemlamba makofi mwalimu wa kike
Mkuu, ikulu walikua wanashida sana na hivyo vitu vyote unavyosemaTUNATOA HUDUMA ZA GPS CAR TRACKING SYSTEM, HD CCTV CAMERAS, FINGER PRINT ATTENDANCE SYSTEM, ELECTRIC FENCE&NETWORKING SOLUTION KWA BEI NAFUU KABISA. CONTACT US: 0743000027
ahahahalia tu maumivu yakiisha utanyamaza
Inaonyesha mwalimu alikuwa anapiga kijicho kwa nyuma, afisa alipombaini akampiga kelbu. Ingenguwa risasi hapo sawa lakini kofi tu! Ni onyo sikunyingine asirudie kupiga kijicho mbele ya wakubwa.Taarifa zilizonifikia ni kwamba;
Kama kichwa kinavyo jieleza tukio limetokea leo Halmashauri ya Wilaya ya BUCHOSA wilaya ya SENGEREMA MKOA WA MWANZA ambapo Afisa mmoja wa TAKUKURU amemlamba makofi mwalimu wa kike (jina linaifadhiwa) wa shule ya msingi (jina linahifadhiwa) wakati wa uhakiki wa vyeti kwa watumishi wote wa umma wa Halmashauri hiyo kwa kosa la kusimama nyuma yake wakati zoezi likiendelea.
Afisa huyo anashikiliwa na polisi mpaka sasa, kwenye kituo cha polisi cha KATA YA NYEHUNGE ambapo zoezi hilo linafanyika, wakati mwalimu akiwa hospitali kwa matibabu ya michubuko aliyoyapata.
Hii ni mwendelezo wa vichapo na udhalilishaji kwa waalimu ambao wanaonekana kutokuwa nathamani mbele ya kada zingine za kiutumishi.
Mpaka sasa suala hilo lipo mikononi mwa polisi, wizara usika na vyombo vyenye dhamana mtende haki kulinda heshma ya mwalimu.