MALCOM LUMUMBA
JF-Expert Member
- Jul 26, 2012
- 20,897
- 63,784
Hakika utaniona......Nikuone braza
Hakika utaniona......Nikuone braza
Ndio na upaja...ebu kesho vaa leggings alafu piga picha tena
Nataka uje uniombee wewe, alafu naomba uniletee uji wenye limao kwa mbaali 😉😉😉Njoo kwa Mwamposa uombewe hutajuta😬
Kesho nitaamka vizuri, maana naingia kufanya jambo langu kazi kwenu tyuuu mlio watu nusu 🫣🫣🫣Bora ulale
Kesho muamke mkiwa mmeshafanya maombi
Muache ukorofi wenu wa kuwaita watu Malofa
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Kipaja au upaja?Ndio na upaja...ebu kesho vaa leggings alafu piga picha tena
👀👀👀Kipaja au upaja?
Tege likinyoka je???
Japo sidhani,ni kali mno
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Ina nyota ya kilokole
Hivi humu hamna anayetaka kutumia avatar yangu tutrend?
Ongeza wa piliIla niseme ukweli tuu ningekuwa sijawowa ningekuwowa
Like na comentKama sijakosea hata hii alishawahi itumia.
Anapenda za aina hii nikajua ni yeye.
UmesemajeBoss ledi sisi hatuna utoto lakini
Kama ulivyosikiaUmesemaje
Baba Mchungaji. Asante sana kwa sala hii yenye nguvu na upako. Nimeguswa sana!Mungu wa utukufu , mwenye asili ya mema yote , ulie jawa rehema na neema, enzi na utukufu ni vyako, mamlaka na uwezo ni vyako, kwa neno lako nchi na vyote vilifanyika, uliumba malaika kwa utukufu wako .. Ninashukuru kwa zawadi ya wokovu na uhai, nakushukuru kwa huruma na msamaha wa dhambi, uovu na makosa na kushukuru kwasababu neema na huruma zako zimenifunika, nakushukuru kwa ajiri ya maisha ya mwanao na mtumishi wako Shimba Ya Buyenze , Heaven Sent , mahondaw ulie waumba na kuwafanya kwa ajiri ya utukufu wako, Nakushuru kwasababu hata sasa huruma na neema yako ipo juu yao, nakushuru kwasababu waliyo yashindwa kuna njia na jambo jipya litalo wezesha kuweza, nashukuru kwa ajiri ya familia zao, kwa ajiri ya kazi za mikono yao kwa ajiri ya afya zao.. Ulie mwema Mungu wa wote mwenye mwili ninaomba kila ombi lao lilitoka ndani ya roho yakajibiwe kwa ajiri ya utukufu wao.. nakusihi Mungu ulie fanya malaika na viumbe vyako vitakatifu , uruhusu kwa huruma zako vikatende kazi na wao ikiwapo kufunua kusudi lako katika maisha yao na kuwatangulia mbele katika kila hatua za maisha yao, asante Mungu kwa damu ya thamani ikawanenee mema mbinguni juu na katika nchi nchini na kila mahala palipo na uhai wako, kila hatu na kila jambo watendalo damu iwanenee yaliyo mema kama inanevyo katika madhabau yako iliyo juu mbinguni .. Amen
Na wote tuseme aimen!!Mungu wa utukufu , mwenye asili ya mema yote , ulie jawa rehema na neema, enzi na utukufu ni vyako, mamlaka na uwezo ni vyako, kwa neno lako nchi na vyote vilifanyika, uliumba malaika kwa utukufu wako .. Ninashukuru kwa zawadi ya wokovu na uhai, nakushukuru kwa huruma na msamaha wa dhambi, uovu na makosa na kushukuru kwasababu neema na huruma zako zimenifunika, nakushukuru kwa ajiri ya maisha ya mwanao na mtumishi wako Shimba Ya Buyenze , Heaven Sent , mahondaw ulie waumba na kuwafanya kwa ajiri ya utukufu wako, Nakushuru kwasababu hata sasa huruma na neema yako ipo juu yao, nakushuru kwasababu waliyo yashindwa kuna njia na jambo jipya litalo wezesha kuweza, nashukuru kwa ajiri ya familia zao, kwa ajiri ya kazi za mikono yao kwa ajiri ya afya zao.. Ulie mwema Mungu wa wote mwenye mwili ninaomba kila ombi lao lilitoka ndani ya roho yakajibiwe kwa ajiri ya utukufu wao.. nakusihi Mungu ulie fanya malaika na viumbe vyako vitakatifu , uruhusu kwa huruma zako vikatende kazi na wao ikiwapo kufunua kusudi lako katika maisha yao na kuwatangulia mbele katika kila hatua za maisha yao, asante Mungu kwa damu ya thamani ikawanenee mema mbinguni juu na katika nchi nchini na kila mahala palipo na uhai wako, kila hatu na kila jambo watendalo damu iwanenee yaliyo mema kama inanevyo katika madhabau yako iliyo juu mbinguni .. Amen 😁😁😁😁😁😁🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🤗🤗🤗🤗🤭🤭🤭
Lol ndio nimeamka saivi msukuma nikasema niperuz kidogo Kabla sijajiadaa kwenda shambaniUnaselfika Boss Lady?
Wengi hawajaamka!
Umemisika sana Selfika!!Umesemaje
🤣🤣😂😂😂Ina nyota ya kilokole
Nani anataka