sema mie nawakubali R na F wana behave kisomi na smart, wanaonesha umuhimu wa kuwa na Elimu, ila R anajua kutetemesha, anatema yai had chimbo linatikisika, yaan kimalikia chake kimenyoooka mno, ndo raha ya kusoma majuu.
Afu kumbe F kamaliza UDSM 2015, mie nilijuaga mtoto mwenzangu wee siku hiyo acha aniweke wazi nlishtuka, ana muonekano wa kitoto.
N mswahili sana, some time wakianza kukwaruzan na J lo, bas mambo mareshhhh.