Selfika na JF: Snap it. Show it

Kwa nini nikutenge mkuu sina sababu ya kufanya hivyo kwenye mlo wako matunda yasikose kuimalisha kinga ya mwiliπŸ€·πŸΌβ€β™€οΈ
Nakwenda hospital watu wana nitazama, nashindwa kutembea manesi wananitukana, mwili wangu wote unanuka ni nani hata wa kunifunika shukaa πŸ₯ΉπŸ₯ΉπŸ₯Ή
 
Sipikiagi wageni wangu ugali, labda waseme ndio nitawapikiaπŸ˜ƒ
Naashum wanakula sana majumbani mwao so wakija kwangu ni mwendo wa misosi mingine no ugali
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ mbona mie hukunipa chakula ulimpa tu spidernyoka alafu mie mbona uli nilaza chini mwenzangu sijui alilala wapi 😬😬😬
 
Komaa ndio maishaπŸ˜›
πŸ₯ΉπŸ₯ΉπŸ₯Ή nikiendelea sikiliza huu wimbo nimerudi nyuma miaka mingi picha inakuja waathirika walivyokuwa wana nyanyapaliwa na kufanya hata wafe mapema kabla ya wakati wake. Mungu mwema sasa hivi unyanyaapaa umepungu sanaa, ila naona Nuzulati kanitengaa vibaya sijui anahisi hata nikichart nae namuambikizaaa πŸ₯ΉπŸ₯ΉπŸ₯Ή
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…