Sipikiagi wageni wangu ugali, labda waseme ndio nitawapikiaπ
Naashum wanakula sana majumbani mwao so wakija kwangu ni mwendo wa misosi mingine no ugali
Sipikiagi wageni wangu ugali, labda waseme ndio nitawapikiaπ
Naashum wanakula sana majumbani mwao so wakija kwangu ni mwendo wa misosi mingine no ugali
π₯Ήπ₯Ήπ₯Ή nikiendelea sikiliza huu wimbo nimerudi nyuma miaka mingi picha inakuja waathirika walivyokuwa wana nyanyapaliwa na kufanya hata wafe mapema kabla ya wakati wake. Mungu mwema sasa hivi unyanyaapaa umepungu sanaa, ila naona Nuzulati kanitengaa vibaya sijui anahisi hata nikichart nae namuambikizaaa π₯Ήπ₯Ήπ₯Ή