Selfika na JF: Snap it. Show it

Huwezi kula kitu mtoto mzuri, wewe hujawa pig πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… naamini kuna vyakula nakula pia wewe hulii.. ugali na mlenda nachagua mlendaaa sio kwamba ugali sili ila haunivutii zaidi ya mlendaaa
Me nakula kila kitu kasoro mchanga πŸ˜‚πŸ˜‚

Sasa ndio mlo wetu huku uswazi... yaan ugali hauepukiki si asubuh, mchana wala usikuπŸ˜ƒ
 
Hatutaji kuondoka kwetu wala kurudi kwetu πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…

Anza kufanya mazoezi ya meno sasa πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ basi nimefuta swali hilo, sikujua mwee

Kesho jion nina ratiba ya kwenda kula nyama choma
So natumai had urudi mazoez nitakua nishafanya ya kutosha, tukafanye yetuπŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ basi nimefuta swali hilo, sikujua mwee

Kesho jion nina ratiba ya kwenda kula nyama choma
So natumai had urudi mazoez nitakua nishafanya ya kutosha, tukafanye yetuπŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… Unaenda kula wapi nisije kuwa mie ndio mchomaji nikuandalie nyamaa nzuriii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…