Post M-alone
JF-Expert Member
- Aug 18, 2021
- 2,962
- 9,557
Unaweza kukamatwa hivihivi unajiona..π π π Nimecheka sana, akili zetu wanaume huwa za ajabu sana unakumbula kale ka msari kama mfalme ... Wanawake wanabadirika ila unapo amua mabadiriko yake ukubali kutumia mda mwingi sana kuingia ndani yake na kumtoa alie anza kabla yako... nafsi huwa inauma ukikosa gori na hasa ziwe dk za majeruhi ... ingawa mie nilipambana nikabebeshwa mkoba sasa nikawa nikitembea nae ananiambia nifate nafata nikawa kama nimepigwa upofu alafu watu wanatuangalia kweli kweli nikasema nini hii, ila sikuwa kabisa na akili mbele ya yule dadaaa, baadae ananiambia anaenda kulala sasa shughuli pevu ndio ilikuwa hapo anza bebembeleza wee twendee , kakataa alafu yupo serious ananiambia kwani mie nauza huku nimebeba sana mkobaa fataa saka kama bodi gadi nikiwa na matumaini π π π tukawa tumesimama mahala hivi akaanza nihoji maswali sijui akili hapo zilikuwa wapi .. kipindi ananiuliza nika test mvuta kwa nyuma nika mkumbatia akachekaa akatulia nikaanza piga siasa huku nimekumbkatia akachomoka akasogea kama main entry fata pale kumbatiana live live sina aibu hapo sijui akili ilienda wapi ila kuondoka wote hataki.. nikakata kabisaa tamaaa nikamuambia poa mie naondoka akasema poa π π roho ikauma piga hatua mbili nikarudi .. nikaingia na gear ingine mie nasafiri naenda morogoro nikitoka morogoro naenda dodoma akawa hapajui kumbe mgeni, hapo ndio alifanya makosa kusema hapajui huko koteee nikaanza ingiza gear baada ya gear hadi mida ya saa 10 akasema twende alipofikia akachukue mizigo yake twende wote nikahisi utani, hao tukaondoka hadi hotelin kwake ila hatoi mzee, hapo tayari nimetoboa na ni nje ya utaratibu , tukaingia kwenye chuma sijalala hapo nilichofanya piga redbul za kutosha na maji mengi ili mkojo unisimbue ninapo kuwa naendesha nisilale, nilifanikiwa mkoani morogoro na mkoani dodoma na dar es salaam nawasiliana nae tu maana wengine hatujuagi kuachana π π π
Ila uliupiga mwingi sana, hakuna kukata tamaa π π , kujipa moyo utambadilisha kumbe na yeye anawaza kukubailisha.



