Mnazareth
JF-Expert Member
- Dec 4, 2017
- 3,474
- 7,407
Hahahaha Huyo ni Dada yangu kabisa kama ulivyo wewe tu. ..
Tutafute mtekaji mwingine aiseeNitakupa huyohuyo
Tutafute mtekaji mwingine aiseeNitakupa huyohuyo



kwani shemeji yangu siku moja moja hakuthibitishii jamani??
Ndo niishiwe sasa, kama sijalia mimi nitafanya ajee
@Hazard CFC ndugu yako huyu.
Jengo la Uchumi kakaHapo ni wapi eti Dada??
Na kweli nimegundua wewe siyo muandika magazeti kabisa yaani sijawahi kufuma gazeti lako humu hata kwa bahati mbaya,, mtu akibishana na wewe anajichosha tu maana hauchelewi kumjibu "sawa mkuu"..
Na ndiyo maana kwenye lile shindano la Hazard nilikuambia wewe utashinda nafasi ya kwanza kati ya wanawake wenye kauli nzuri humu JF maana una majibu fulani amazing,, nikikuwa mkubwa nataka kuwa kama wewe..











Nishatumaa mimi mdogo wangu mzuri mzuriSijambo dada
Picha zangu zimeishanitumie zako tu
Na hazijibiwiHahahahah nakusumbua nakwambia mbona text zimeshasomwa daaah
Bora iwe nadharia, manake nimejichungulia nikajiona sina sifa![]()











Hahahahaha jamani ebu nitumie basi kabla sijazima simu na kulalaNa hazijibiwi
Halafu nakutumia namba za konda
Ngoja tuendelee kutafutaHahahaha Huyo ni Dada yangu kabisa kama ulivyo wewe tu. .. Tutafute mtekaji mwingine aisee
Hivi unavuta bangi ya wapi dada??









Nani kakuteka etiHahahaha Huyo ni Dada yangu kabisa kama ulivyo wewe tu. .. Tutafute mtekaji mwingine aisee
kwani shemeji yangu siku moja moja hakuthibitishii jamani??








Next time nitachukua Zucchin ako na shape nzuri
Hahahahahaha