Selfika na JF: Snap it. Show it

Basi inabidi washughulikiwe
 
Ayeyeeeee naanzaje sasa πŸ˜‚πŸ˜‚
Tiktok shit
That’s my new sijui niiniiii
Kibwagizo freshiiii

Khaaa emu Lenie nisaidie πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Nimesikia tiktok na JetLee nika google anasema πŸ˜‚

Drip drip drip
Drip drip (Fresh!)
Post that tiktok sh!t (Fresh!)
Thats my last year drip (Fresh!)
My new drip too lit (Fresh!)
Drip drip drip
Drip drip (Fresh!)
Post that tiktok sh!t (Fresh!)
Thats' my last year drip (Fresh!)
My new drip too lit (Fresh!)


Ile bando ya kuselfika nimetumia kutafuta lyrics.. πŸ˜‚
 
Nanyie wanaume sasa Wanaume wa mizagamuano wamejaa tele ila waoaji sasa ndio wachache sanaaaa!!
Sema hayo mambo ni asili tu ya mtu tu baba pasta haijalishi ni mwalimu au nesi.... Kuna walimu manesi vichomi balaaa
Nakumbuka zamani za kale, nilikuwa naomba Mungu sitaki mwanamke mpole , nataka meanamke wa kumbadirisha tabia ( bangi hizi ) one day nikaingia casino moja nikavutiwa na mdada mmoja khaaa alikuwa kama kaumbwa nikasema laulaaa Mungu kajibia maombi kitu si ndio hiki.. ile ki gentleman nikamfata mtoto πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… nikawa kauli mbili ya kwanza bei gani akageuka akakata jichooo kali hilo πŸ˜…πŸ˜… nikavunga kama hajanisikia nikamuambia nataka tu company πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… au basi .. But wanawake wote wazuri na wanaume wote wazuri ila hadi upate wa aina yako hakuna mtu mmbaya ila kuna walio zidi excellence
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…