Ugali najua kupika
Tena hasa kwenye jiko la kuni,,ndiyo maisha niliyokulia hadi sasa.
Ila hilo sufuria siwezi kupika aisee..
Kama uwaifu matirio inapimwa Kwa kusonga sufuria lote hilo mtu mmoja aisee mimi ningefeli.
Sent from my TECNO CG6 using
JamiiForums mobile app