cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 116,289
- 187,945
Ndyooooh
Ndyooooh
Mbna hukunialika sasa nikate cake? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hapana baba pasta napitaje kimya kimya na sidaiwi vyama nishalipa na Sitoki na mume wa mtu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji1787]!!
jana usiku nilikua nasherehekea birthday ya bossi wangu mjomba!
Nipooo hapaaaa shouzzzz anguu. [emoji6][emoji6][emoji6][emoji6]Shos tulipwayaje selfika jamani usiwe unapotea kihivo jomonee!![emoji1787][emoji6][emoji8]
Jana kwenye birthday nilitupia mambo yako upendeleayo nikitulia nitatuma japo kamera sijui imeingia vumbi kha!Birthday ya junia....
Nilitoa mwaliko hukuwepo shos!!!😉Mbna hukunialika sasa nikate cake? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Niifue kwanza[emoji3]Mlongo, naomba hiyo trauza.
Nimeipenda mnooo,, [emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wacha wee, hope uli enjoy mnooo. Kwangu ni burudaaani, shouzzz angu wa ukweeeeeh. [emoji6][emoji6][emoji6][emoji6]Nilitoa mwaliko hukuwepo shos!!![emoji6]
Imekukaa penyewe hiyo trauza hadi nakuonea wivu yaan
You must be joking..Waoooo umependeza sana [emoji9]
Trauza zipi unapendelea kuvaa coca au unapendelea short pants .Imekukaa penyewe hiyo trauza hadi nakuonea wivu yaan
keki ipoooo! Usiwaze nitakutumia badae mjomba!😅😅😅 Geto boys tupo hapa tunafuta direction ya kupata hata msosi wa asubuhi ... ili mchana uwe mwemaaa ... kama boss alibakisha keki hata kidogo itatusukuma sukuma
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤭🤭🤭🤭🤭🤭🤭Nipooo hapaaaa shouzzzz anguu. [emoji6][emoji6][emoji6][emoji6]
Nimejaaa telee km pumbu za mtu fulan ndani ya boxer.
Woiiiiiiih
Mie zote napiga, had zile za kiume, cadets pia navaa.Trauza zipi unapendelea kuvaa coca au unapendelea short pants .
Mimi napenda boyfriend jeans
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2960][emoji2960][emoji2960][emoji2960][emoji2960][emoji2960][emoji2960]
Ooh okayMie zote napiga, had zile za kiume, cadets pia navaa.
Navaa yes. [emoji6][emoji6][emoji6]Ooh okay
Eeh kumbe hadi cadets
Ngoja kwanzaImekukaa penyewe hiyo trauza hadi nakuonea wivu yaan
🙆♂️🙆♂️🙆♂️🙆♂️Nipooo hapaaaa shouzzzz anguu. [emoji6][emoji6][emoji6][emoji6]
Nimejaaa telee km pumbu za mtu fulan ndani ya boxer.
Woiiiiiiih