cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,101
- 181,169
Jomoneeeeh nna kiu yaNimeamka salama,namshukuru Mungu
KaribuView attachment 2227601View attachment 2227614
Sent using Jamii Forums mobile app
.








yatakushinda dadaMarahaba hujambo dogo? Nyiee kuna salamu nzitooo kuitikiaShikamoo dada![]()


Msimu huu ubingwa n kwa City.Balaa tu
Ila naona EPL haitabiriki msimu huu timu inaweza ikawa vizuri ehh msimu ujao mambo mvurugiko .
Sasa ni zamu yao naona .
Mandevu hakufanyiwa maajabu na spaz?




Mlongo, naomba hiyo trauza.




Shikamoo dogoMandevu hakufanyiwa maajabu na spaz?
Tabu iko pale pale.
Hakika kwa EPL nyie ni mabingwaMsimu huu ubingwa n kwa City.
Etihad hoyeeeeeeeeh!!!!
Marahaba dogo hujambo.Shikamoo dogo
Ni vizuriLakini ni vibaya ukipitia kuchukua kwa upendo tu?
Umepitwa uko hapahapaSijaona!!




Huu ndyo ugonjwa wangu Sasa
Mimi nilifurahi mnoWest Ham ni![]()
Nilifurahia pia walivyotoa sare


Top 4 wataisikia Kwa wenzaoHahahha aisee
Nawaonea huruma aise walikuwa tayari top four
Next match ya spurs wanacheza na Norwich city hapo chances zinazidi kushuka .
Hii EPL ndio inayotusumbuaAfanye jambo kwa kweli
Quadruple ile naiona
