Kwakweli heshima ifate mkondo hawez kuwa na mmoja sawa anamatamanio sijakataa sasa ndo Hadi useme kwanza mwanaume wangu nikikufumania nakuacha huna vigezo mwanaume unafumaniwaje
Mimi nisiambiwe hizo habari kabisa. Tunajua kabisa wanaume wapo vipi lakini nisijue afanye mambo yake kimya kimya. Mume anauma weee (japo sina hata huyo mume
Mimi nisiambiwe hizo habari kabisa. Tunajua kabisa wanaume wapo vipi lakini nisijue afanye mambo yake kimya kimya. Mume anauma weee (japo sina hata huyo mume
Si ndo hapo ni uzembe wa Hali ya juu
Kwakweli sinaga mda wa kumfatilia mtu Tena nikiwa sinampango wa kuachana nae ndo kabisa tupeane heshima sasa Hadi nikufamanie utakuwa hujielew yaani nikifumanie umekwama wapi hasa🤣🤣
Mimi nisiambiwe hizo habari kabisa. Tunajua kabisa wanaume wapo vipi lakini nisijue afanye mambo yake kimya kimya. Mume anauma weee (japo sina hata huyo mume
Unaniambia "mme wangu huko uliko najua kuna wanawake wengi wazuri kuliko mimi, najua unatafuta na utakaa muda mrefu, nilikuwa nakuambia tu kama ikitokea unahitaji mwanamke nimekupa ruhusa......lakini...."