Mwanaume hatakiwi kabisa kufumaniwa [emoji23][emoji23] nimepaelewa hapo.Kwakweli heshima ifate mkondo hawez kuwa na mmoja sawa anamatamanio sijakataa sasa ndo Hadi useme kwanza mwanaume wangu nikikufumania nakuacha huna vigezo mwanaume unafumaniwaje [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Eti kupenda ni kiherehere chetu. Wanawake tunakiwa kuheshimu wanaume zetu wao ndio watupende.Ah tunapenda vibaya
Hahaha hapo mwisho sasa [emoji23]Mimi nisiambiwe hizo habari kabisa. Tunajua kabisa wanaume wapo vipi lakini nisijue afanye mambo yake kimya kimya. Mume anauma weee (japo sina hata huyo mume [emoji23])
[emoji6][emoji6][emoji6][emoji6]Okay dear
Hamna lolote nyie hampendi amnaangalia maisha yapo wapi ndio mnajiegesha hapoAh tunapenda vibaya
So sadEti kupenda ni kiherehere chetu. Wanawake tunakiwa kuheshimu wanaume zetu wao ndio watupende.
Wee sema kinachouma sio mume...ongea ukweli ...kinachowauma nyie ni ile kuwa hela kapewa mwanamke mwengine🤣🤣🤣🤣🤣Mimi nisiambiwe hizo habari kabisa. Tunajua kabisa wanaume wapo vipi lakini nisijue afanye mambo yake kimya kimya. Mume anauma weee (japo sina hata huyo mume [emoji23])
Sio wote bhanaHamna lolote nyie hampendi amnaangalia maisha yapo wapi ndio mnajiegesha hapo
Sasa wale wanawake wenye wanaume wasio na kitu tunawaweka kundi gani??Hamna lolote nyie hampendi amnaangalia maisha yapo wapi ndio mnajiegesha hapo
SwadaktaEti kupenda ni kiherehere chetu. Wanawake tunakiwa kuheshimu wanaume zetu wao ndio watupende.
Si ndo hapo ni uzembe wa Hali ya juuMwanaume hatakiwi kabisa kufumaniwa [emoji23][emoji23] nimepaelewa hapo.
Sema huo ujinga ukishakuwa kama bill gatesSio wote bhana
Kila moja ako na malengo yake ... Pesa si kitu
Kikubwa ni upendo wa dhati.
Ah umepatiaLike a daddy, az a Kiddy.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Naomba mnipeleke kwa Ras Simba, Engish couzz.
UwiiiiihView attachment 2227427
Mie sijawah experience hicho kitu sababu sijawah pata bwana wa kunipa mihela, kinachouma ni utamu wangu kugaiwa kwingine na si vinginevyo.Wee sema kinachouma sio mume...ongea ukweli ...kinachowauma nyie ni ile kuwa hela kapewa mwanamke mwengine[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Umehama kwenye heshima unatupeleka kwenye kujiegesha asa tukae wapi jamnHamna lolote nyie hampendi amnaangalia maisha yapo wapi ndio mnajiegesha hapo
Wannawake gani hao...mbona siwaoniSasa wale wanawake wenye wanaume wasio na kitu tunawaweka kundi gani??
Unaniambia "mme wangu huko uliko najua kuna wanawake wengi wazuri kuliko mimi, najua unatafuta na utakaa muda mrefu, nilikuwa nakuambia tu kama ikitokea unahitaji mwanamke nimekupa ruhusa......lakini...."Mimi nisiambiwe hizo habari kabisa. Tunajua kabisa wanaume wapo vipi lakini nisijue afanye mambo yake kimya kimya. Mume anauma weee (japo sina hata huyo mume [emoji23])
Hahaha ndo ukweli huo [emoji23][emoji23]Sema huo ujinga ukishakuwa kama bill gates
Sii mnaiheshimu pesa ya mwanaume na sio kwamba mnampenda huyo mwanaumeUmehama kwenye heshima unatupeleka kwenye kujiegesha asa tukae wapi jamn