π π Buyer wa kwanza katoa 400 millions, anakuja mtu gari hiyo hiyo anachukua kwenye mnada kwa 40million, unafikiri ataweza sasa kuhudumia hapo lazima apige mayoyeee π π π Zisingekuwepo namba A zinadunda humu
mitaani kama mabovu
Yule kijana huwa mnamsifia eti hendisamu. Huku anakoelekea wala siyo kwenyewe. Nilikuwa najaribu kumrudisha kwenye mstari ukoo wake huko Kondoa wasiishie kuimba "Parapanda italia Parapanda..."
Yule kijana huwa mnamsifia eti hendisamu. Huku anakoelekea wala siyo kwenyewe. Nilikuwa najaribu kumrudisha kwenye mstari ukoo wake huko Kondoa wasiishie kuimba "Parapanda italia Parapanda..."
Yule kijana huwa mnamsifia eti hendisamu. Huku anakoelekea wala siyo kwenyewe. Nilikuwa najaribu kumrudisha kwenye mstari ukoo wake huko Kondoa wasiishie kuimba "Parapanda italia Parapanda..."