Ilikuwa kwenye uzi fulani hivi kuhusu wanawake na ndoa wewe ukasema "imeandikwa mwanamke mpumbavu atavunja ndoa yake kwa mikono yake mwenyewe, na mimi naongezea mwanamke mpumbavu atavunja ndoa yake kwa mdomo wake mwenyewe"
Mimi nikakuuliza "kivipi umemaanisha nini"
Ukanijibu "umeelewa sana ila unataka ligi tu, kuna mdomo na MDOMO"
Basi mie nikajua ulimind na nilidhani labda utakuwa off mood maana mimi katika maisha yangu sikumbuki mara ya mwisho kuwa off mood ni lini!!
alikataa friendly match?? Huyo mwanaume inabidi awekwe kwenye kitabu cha guiness cha rekodi za dunia,, mwanaume wa kwanza kuwahi kutongozwa na mwanamke na akakataa..