Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 50,479
- 203,143
😂😂 rubani!!😭 😭 😭 Najua nitaendelea kula kwa macho..
😂😂 rubani!!😭 😭 😭 Najua nitaendelea kula kwa macho..
Umekuwa chibonge
Mkuu leo tuhakikishe tunapita pita huko PM kujaribu bahati zetu.ila ndio ivyo pia tutaishia kula kwa machoo tu , na hapo ndio maumivu yalipo walaji huwaoni hapa wanatazama tu tena kama guest user akilogin ni kwa tukio... ☹️☹️☹️☹️
FA lina hela
SA niache










Umeogopa nini lakini🤣🤣Hii missed call kwema? Mpaka nimeogopa 😂😂😂
Nilikuwa kwa 🛁
Ndo napambana kurudi....🚶🏽♀️🚶🏽♀️Umekuwa chibonge
😀😀😀 PM zenyewe zipo wazi basi sasaaa, yani wame select wa kuwasiliana nao, kila ukituma unakutana na huwezi tuma message kwa huyu ... unageuza kimya kimyaaa na ikifanikiwa kwenda utajibiwa baada ya miezi ila hapa unakuta ana ku like na ana quote ila PM hajibu 😅😅😅Mkuu leo tuhakikishe tunapita pita huko PM kujaribu bahati zetu.
🤣🤣🤣 ndio maisha bestInauma sana, maana unaona ila huli ni kama umewekewa chakula hapo ila huna access ya kula unaishia kutoa mate tu 😩😩😩
Piga 🤣 nimeshika simu..Umeogopa nini lakini🤣🤣
Kuna jambo nimekumbuka nikataka nikuulize, nakupigia.
😅😅😅😅 hata nilipo naangalia magari mazuri ila siwezi yapata ndio kama humu sasaa tunaangalia tu, tunapita kushoroKuangalia mapisi 🙈🙈🤣🤣
Kumbe ndio wana tabia mbaya hivyo kupotezea PM zenu jaman😀😀😀 PM zenyewe zipo wazi basi sasaaa, yani wame select wa kuwasiliana nao, kila ukituma unakutana na huwezi tuma message kwa huyu ... unageuza kimya kimyaaa na ikifanikiwa kwenda utajibiwa baada ya miezi ila hapa unakuta ana ku like na ana quote ila PM hajibu 😅😅😅
inasikitisha sanaaa🤣🤣🤣 ndio maisha best
Inasikitisha sanaa 😭😭😭 ila sawa tuKumbe ndio wana tabia mbaya hivyo kupotezea PM zenu jaman
Sasa muite Mjep mara moja nimwambie kitu, Mjep tumemuweka kitengo wizara ya kuhakikisha pisi zinapata bando, muite tuongee jambo.😀😀😀 PM zenyewe zipo wazi basi sasaaa, yani wame select wa kuwasiliana nao, kila ukituma unakutana na huwezi tuma message kwa huyu ... unageuza kimya kimyaaa na ikifanikiwa kwenda utajibiwa baada ya miezi ila hapa unakuta ana ku like na ana quote ila PM hajibu 😅😅😅