yaani sipati picha,, ila ndiyo vizuri atleast nitajua nimekutana na mpole mwenzangu so nitakuwa huru..
Unajua yale magazeti ninayoyashushaga humu kubishana na watu siwezi kuaminika kwamba eti mimi ni mpole ila kuna mtu humu nilishawahi kumuambia kwamba I'm not only faking my identity in here,, but also my personality..