Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Mmh mkuu ,labda Mungu anifanyie wepesi tu
Ni balaaa
Haya mambo km pata potea tu,hayatabiriki
Mungu ashafanya wepesi boss, hakuna combination au fani ( course) ambayo ukicheza nayo inakupa mzigo.. na wakati mwingine tuna hangaika na mambo magumu tukizani kwamba kumbe sivyo kabisaa.. Kwa hapa nilipofikia hata ningejua kusoma na kuandika tu ingenitosha kabisaa 😅😅😅
 
Mungu ashafanya wepesi boss, hakuna combination au fani ( course) ambayo ukicheza nayo inakupa mzigo.. na wakati mwingine tuna hangaika na mambo magumu tukizani kwamba kumbe sivyo kabisaa.. Kwa hapa nilipofikia hata ningejua kusoma na kuandika tu ingenitosha kabisaa
nalo neno!
Yaani HKL ,HGL,kipindi chetu kila mtu alikuwa akienda chuo ni sheria,wengine ndo tukaona sheria imekuwa km fashion!
Tukaenda kusoma vitu vingine!
Wachache pia walienda mass communication!
Ila wengi ilikuwa law!
 
Nipo maeneo yangu ya kujidai,
Natazama ndinga za wakubwa wetu.

Weekend!!!!
Screenshot_20220513-124035_1.jpg
 
Back
Top Bottom