cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,101
- 181,172
Utanikuta huku mbelee.



Utanikuta huku mbelee.



Kweli tena...!!! Nikasema ngoja nisubiri mida yetu...!
Kweli tena...!!! Nikasema ngoja
Mungu ashafanya wepesi boss, hakuna combination au fani ( course) ambayo ukicheza nayo inakupa mzigo.. na wakati mwingine tuna hangaika na mambo magumu tukizani kwamba kumbe sivyo kabisaa.. Kwa hapa nilipofikia hata ningejua kusoma na kuandika tu ingenitosha kabisaa 😅😅😅Mmh mkuu ,labda Mungu anifanyie wepesi tu
Ni balaaa
Haya mambo km pata potea tu,hayatabiriki
Ahaa safi hio nipo nakuja fastaaa 🏃🏽♀️🏃🏽♀️🏃🏽♀️🏃🏽♀️🏃🏽♀️
Mungu ashafanya wepesi boss, hakuna combination au fani ( course) ambayo ukicheza nayo inakupa mzigo.. na wakati mwingine tuna hangaika na mambo magumu tukizani kwamba kumbe sivyo kabisaa.. Kwa hapa nilipofikia hata ningejua kusoma na kuandika tu ingenitosha kabisaa![]()


nalo neno!Nipo mie mbna, niko huku mbele.
kila kozi ni 🔥🔥🔥 Ni kujiweka sehemy nzuri tunalo neno!
Yaani HKL ,HGL,kipindi chetu kila mtu alikuwa akienda chuo ni sheria,wengine ndo tukaona sheria imekuwa km fashion!
Tukaenda kusoma vitu vingine!
Wachache pia walienda mass communication!
Ila wengi ilikuwa law!
Yeah!Hahaha kumbe
Wow such a great woman of God; kunifananisha tu umeniheshimisha sana aiseehahahaha.nimekufananisha na Prophetess Trizah.
Au sofa.Ewaaa, mbinuko..au nyama za ziada!![]()
Sina picha mpya
Hata za miaka usijali jmnSina picha mpya
Hadi nipige sijui lini maana camera hainifurahishi