Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
Jiandae kucheza na kenziochizi wee
Ifike muda watoto mkacheze na wenzenu

Jiandae kucheza na kenziochizi wee

Kwani si nasikia kuna serengeti light na serengeti kubwa!
Subiri kwanza, nishaanza weekend mama. Matatizo hadi Monday huko.
Sasahivi una msala Gani?
Kumbe, haya.Kwani si nasikia kuna serengeti light na serengeti kubwa!
Hivi Eroni wewe ndio hutaki tukuone hata kidogo tu rafiki??ujue unatukatili sana eka basi hapa hata ukucha tu.Kwani si nasikia kuna serengeti light na serengeti kubwa!
Kuwa na adabu wee,Jiandae kucheza na kenzio
Ifike muda watoto mkacheze na wenzenu![]()




Alinyang'anywa funguo shetani sembuse weweWeeeh?
Haijafika
Kwanza hawezi kukwambia kabla hajakatiza kwangu,,mimi ndiye mwenye funguo za go ahead


Ngoja nikalishe Kajua kenzio humu ndaniKuwa na adabu wee,
Watoto gan hao, unaozungumzia wee?
Funguo ishatua kwanguAlinyang'anywa funguo shetani sembuse wewe![]()

ChaaSubiri kwanza, nishaanza weekend mama. Matatizo hadi Monday huko.



Mbona naweka sana tu, subiri nitaweka tena.Hivi Eroni wewe ndio hutaki tukuone hata kidogo tu rafiki??ujue unatukatili sana eka basi hapa hata ukucha tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama utaweza kunikaba roba karibu 😁😁Mwenyeji hiyo PC km nikupore vile,![]()
hahahaha.nimekufananisha na Prophetess Trizah.Daah mbona Prophetess 🤣🤣