Selfika na JF: Snap it. Show it


[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ingekuwa group la whatsapp tungeona jamaa left
 
[emoji44][emoji44][emoji44][emoji44][emoji44][emoji44][emoji44][emoji44][emoji44][emoji44][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji144][emoji144][emoji144][emoji144][emoji144][emoji144][emoji144][emoji144][emoji144]
 
Hahahah...

Umenikumbusha teknolojia ya simu ya maneno ukitazama zile movies za kivita za kale...

Jamaa wanapokea ujumbe wa siri, wanauchapa ili waweze udecode...

Basi yale makaratasi yanatuzwa utadhani mawe ya dhahabu...
Ha ha ha noma mkuu, huu upande mwingine View attachment 1250974

Mimi nikiwa ofisini ukinitumia email nina iprint kisha ninasoma [emoji23][emoji23][emoji23] old school
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…