ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 52,431
- 118,984
Kwa hiyo tusemeje mkuu.nundu ni nundu. Na mgongo ni mgongo
Kwa hiyo tusemeje mkuu.nundu ni nundu. Na mgongo ni mgongo
Boribo ni Nini?Kila kitu kina faida zake, yani dunia hii Mungu kaumba watu wake kwa namna yake. Huwezi jua tupo wengine tukiona bolibo(boribo) zimevimba zimejaa tunapagawa hatari..
..basi kila mtu afurahie anachopenda.
Uliwahi kuona ile avatar yake ya mwanzoNundu ya boss ledi inavunja chaga hadi inasababisha watu tupoteane![]()
Najua, hata Glenn hana shida na mtu, ni muendelezo wa mastori tu wala sio ishu, hawezi kumaind vitu vidogo hivi. Kule siasani ndio kuna stress...Boss ledi mzungu wa roho yule..
Ndio mkurugenzi pale WHO...
Namaamisha mtakipata mnachokitafuta Kwa jamaa aliyewachenjia
Sema hamkuelewana tu kiswahili.
😂😂😂😂😂😂😂Uliwahi kuona ile avatar yake ya mwanzo
Sasa pigia mstari na mzigo alionao
Ila jamani
Kuna wanawake wameumbwa
Halafu haringi wala nini
Sasa kutana na havinitishi na yule havijawa
Wametia vigodoro na tatoo kama zote
Hayo maringo utashaa
hapana sio mkorofi.cjui kweli. Bt ushanipa jibu, kumbe nundu ni kalio.
Yah,jamaa mzungu wa roho pia🍻Najua, hata Glenn hana shida na mtu, ni muendelezo wa mastori tu wala sio ishu, hawezi kumaind vitu vidogo hivi. Kule siasani ndio kuna stress...
Embe bolibo/boribo.Boribo ni Nini?
Embe ni nini?Embe bolibo/boribo.
Siyo kaliohapana sio mkorofi.cjui kweli. Bt ushanipa jibu, kumbe nundu ni kalio.
Sasa atupie akiwa na kikoinatamani arudie nione hy ya kuitwa nundu
twende na nundu.mkuuKwa hiyo tusemeje mkuu.
TushakupotezaSasa atupie akiwa na kikoi
Dela anajua kulivaa hata kulishikilia
Ukute sasa kalifinyia
Hatari
eeh.hatari sanaSiyo kalio
Ni tako lenye nyama
Nakuweka sub leoChaaaaah!!
Siyo Kwa lile tege limepinda namna ile![]()
Boribo ni Nini?

NonoBoribo ni Nini?
A pair of "melons" in woman's chest...ziwe kubwa za kutosha!!Embe ni nini?