Strawbella
JF-Expert Member
- Mar 24, 2021
- 1,758
- 5,803
Shangazi naomba urudie picha la lile Buti linafika magotini .
Huenda likanishawishi kuanza kuvaa vimini.
Sifa za vibonge pia huridhika mapema wakipewa haki zao
🤔🤔🤔🤗🤗🤗🤗
Hujachelewa sana shangazi mida ndio hii...Sijui nimechelewa?
Sifa za vibonge pia huridhika mapema wakipewa haki zao
Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app






Kufika wapi??? Usingizi umeshakata
Basi sio bahati yakoKufika wapi??? Usingizi umeshakata


Lile la mchana uliona ukasema "au basi"Kwanza muambie huyo mr vocha wako, ana case na mie, na mzoom tyuuh. Nikianza kumcharua oooooh.
Hilo buti gan sijaona.