Wigelekelo
JF-Expert Member
- Sep 2, 2018
- 8,765
- 26,901
Nimehifadhi
Kwa dayari hizo
#plate za boda
Siku nikifika huo mji
Wanilete ulipo
Nimehifadhi
😊😊😊



Sasa wewe endelea kuona aibu sawa kijana mzuri ee….eheeMoyo unaona aibu Kusema hadharani..
Moyo unahitaji Kusema ukweli wake chemba
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Sawa, thanks.Click hiyo post
Then, click vidot vitatu juu upande wa kulia wa app ya jf
Then, click "open in browser"
Hii insaidia hata kwa attachments ambazo hazionekani kwenye app, ukifanya hivyo utaziona, then unarudi kwenye app kuendelea....
Hizo nimetumiaNjoo uniungishe barafu basi mwanangu.
Nimeona picha yako umesweat sana ..kuja upate barafu mbili tatu zikupe baridi.
cocastic samtaimz anakuwa very negative 😅😅..Ila Napenda anavyojiamini kwenye mwandishi yake
KidogoShangazi naomba urudie picha la lile Buti linafika magotini .
Huenda likanishawishi kuanza kuvaa vimini.
So big-iyazpretty Girls By iyaz feat TravieView attachment 2221830
Nimegundua tatizo siyo aibu Ila kukosa pesa😅😅Sasa wewe endelea kuona aibu sawa kijana mzuri ee….ehee
Ya kweli hayo? Basi utanionaSorry nilichanganya bana..ni Heaven Sent ndy sijabahatika kumuona,mara nyingi napishana na picha zake
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Ulishawahi kupita njiani ya kutokea kijichi kwenda kigamboni?aise kule hata hewa ni tofauti kabisa ukiwa unashuka mteremkoJogging..Ila mtoni kijichi watu wamejenga aseeView attachment 2221899
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Sweta muhimu MtumishiLimekolea hatari![]()
Wakupeleke relini?🤣🤣🤣🤣Nimehifadhi
Kwa dayari hizo
#plate za boda
Siku nikifika huo mji
Wanilete ulipo
Jipige pige kidogo uzipate SH hakuna shortcut 🤪Nimegundua tatizo siyo aibu Ila kukosa pesa😅😅
Moyo unasingiziwa Tu
UmefuraahiKidogo
Angalau umezungumza
Sasa si uje kuniungisha tu na weweHizo nimetumia
Mwaka kenda tisa na kenda
Huko