Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 45,429
- 95,922
kwann akutoe?.we unapendaje vijana wajiongezeYeye kasema wadada wa jf wanavutiwa na wanaume wanaovaa mashati meupe na kuchomekea,,,,
Ktk hilo kundi la wapenda mie anitoe
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama uko na pisi, mechi njema mkuu. Tuinue kama taifa. Tetea jina na heshima ya ukoo wenu vyema [emoji1420][emoji1420][emoji1420][emoji122][emoji122]
Vijana??kwann akutoe?.we unapendaje vijana wajiongeze
Kwanza mkaka anayevaa suti, sijui official namuona vipi yaan, nataka mkaka avae casual awww huwa navurugwa woiiiiiiih.Nikimuona mkaka kachomekea Shati jeupe sijui nahisi nini[emoji23],,,
Usiniulize
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii lodge au hotel?
Pisi kaziacha Bongo[emoji41]Kama uko na pisi, mechi njema mkuu. Tuinue kama taifa. Tetea jina na heshima ya ukoo wenu vyema [emoji1420][emoji1420][emoji1420][emoji122][emoji122]
Haya mrembo mawardat ningalijua ningekuita
Kumbe huyo ni rubani? Mbna mie sijui? [emoji23][emoji23][emoji23]
Resort.Hii lodge au hotel?
Habari ya kijana kuvaa suti kama anaenda kwenye baraza la wazee kwenda kusuluhisha kesi za mashamba[emoji23][emoji23][emoji23]Kwanza mkaka anayevaa suti, sijui official namuona vipi yaan, nataka mkaka avae casual awww huwa navurugwa woiiiiiiih.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
hahahaha
Oooooooh ouk. [emoji23][emoji23][emoji23]Resort.
hahahaha,dahHabari ya kijana kuvaa suti kama anaenda kwenye baraza la wazee kwenda kusuluhisha kesi za mashamba[emoji23][emoji23][emoji23]
Hapana aisee
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna dogo huwa ananiletea waliokaangwa. We acha tu. Akiniletea tena nitakutonya doc. [emoji16]Naomba urudi na samaki nchanga Kaka
Nitakupokea mbagala[emoji3]
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Ungenishtua jamani daah,sasa ona upo mwenyewe na mabegi yako[emoji23]Haya mrembo mawardat ningalijua ningekuita
Kweli?Kumbe huyo ni rubani? Mbna mie sijui? [emoji23][emoji23][emoji23]
Hao vijana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23],vikanjanjahahahaha
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Baraza la kata. Jaman mie sitaki khaaaah.Habari ya kijana kuvaa suti kama anaenda kwenye baraza la wazee kwenda kusuluhisha kesi za mashamba[emoji23][emoji23][emoji23]
Hapana aisee
Sent using Jamii Forums mobile app
Sijawahi kujua, kweli watu na watuwe, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]