Baraza la kata. Jaman mie sitaki khaaaah.
Kuna mkaka chuo yeye alikuaga mda wote ni suti tyuuh, au laaa suruali ya kitambaa na shat la mikono mirefu ya dukan,
Siku hiyo nkamtolea uvivu, nkamchana aache ujinga wake, avae casual aseeeeh now time akipiga cadet, tshet la 4m 6, simple, dadeki bonge la bwanaa yaan, afu lizuri hataree, limepanda hewan, akiweka na uchebe wa kuibia, ananamilizaga sana mbwa yuleee.