Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Jeshi la Marekani halina watu na ukienda kule kihalali ukasema unataka kujiunga na jeshi watakufanyia mpango wa Green Card na fasta unakwenda depo. Labda ufeli mitihani yao mingine (background check, psychological evaluation.....)....Nenda mjukuu ukawe Seal Team 6 kama wale waliomuua Osama!
nilienda JKT, hapo tena kwa lazima nkasema kuna baadhi ya taratibu zikiwepo kabla ya utekelezaji nachomoka mwenyewe, uzuri wake intake yetu hakukuwa na hiyo.

Kimbembe sasa huko kwenye mahema, kwanza maisha ya pale khaaaj, nlimuhonga mjeshi anitoroshe, bhana wee 200k angu alichukua, na adhabu juu eti mie mtoa rushwa, sema nikawekwa kitengo cha huduma, sikuteseka hivyo.

 
nilienda JKT, hapo tena kwa lazima nkasema kuna baadhi ya taratibu zikiwepo kabla ya utekelezaji nachomoka mwenyewe, uzuri wake intake yetu hakukuwa na hiyo.

Kimbembe sasa huko kwenye mahema, kwanza maisha ya pale khaaaj, nlimuhonga mjeshi anitoroshe, bhana wee 200k angu alichukua, na adhabu juu eti mie mtoa rushwa, sema nikawekwa kitengo cha huduma, sikuteseka hivyo.



Sent from my SM-G960U1 using JamiiForums mobile app
 
nilienda JKT, hapo tena kwa lazima nkasema kuna baadhi ya taratibu zikiwepo kabla ya utekelezaji nachomoka mwenyewe, uzuri wake intake yetu hakukuwa na hiyo.

Kimbembe sasa huko kwenye mahema, kwanza maisha ya pale khaaaj, nlimuhonga mjeshi anitoroshe, bhana wee 200k angu alichukua, na adhabu juu eti mie mtoa rushwa, sema nikawekwa kitengo cha huduma, sikuteseka hivyo.

Na 200K ikapigwa au alikurudishia?
 
Back
Top Bottom