Wigelekelo
JF-Expert Member
- Sep 2, 2018
- 8,765
- 26,901
Sasa duhWee tako langu halisi, kigodoro cha nn mie?
Khaaaah,![]()
Umenivuruga ujue
Sa itakuwaje
Yaani aisee
Umesema ni OG
Ukweli kwelii

Sasa duhWee tako langu halisi, kigodoro cha nn mie?
Khaaaah,![]()

Huyu hafai,anaweza mchambua bwana harusi kuanzia unywele hadi kiatun
Sent using Jamii Forums mobile app






mlongo bhana, hapana sio hivyo.Dada silipi kwanza Hadi sherehe iishe tukimaliza tunaangalia mkanda tunarudia ukitoa kichambo tunakata buku kila kichambo kimojawee usinikumbushe, niliwahi kuwa MC wa graduu yetu ya 4m 6, mambo niliyoyafanya hapo. Sitasahaulika pale shule woiiiiioh.
Nakuambia nilivunja watu mbavu, mda wote sherehe iko on firee.



Huyu hajali
,,,,akishachamba tu,roho yake kwatuuuuu,hata kama usipomlipa.Sitakii,






Jeshi la Marekani halina watu na ukienda kule kihalali ukasema unataka kujiunga na jeshi watakufanyia mpango wa Green Card na fasta unakwenda depo. Labda ufeli mitihani yao mingine (background check, psychological evaluation.....)....Nenda mjukuu ukawe Seal Team 6 kama wale waliomuua Osama!hebu nitafutie nafas bas ya jeshi, nataka huko ughabuni. Mweeeeeh.
Utasubiri sana tu.Inawezekana
Akawa anakula chips mayonaiz
Ushauri tu
Halafu najitolea![]()
Dada silipi kwanza Hadi sherehe iishe tukimaliza tunaangalia mkanda tunarudia ukitoa kichambo tunakata buku kila kichambo kimoja
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app









hata chenji sitaondoka nayo.Atasingizia kalala hata kama yupo tu hapa anatusanifu. Shangazi yetu mzungu halafu dah!

Mpwa wangu siyo Bonge. Labda kuna mwingineAlafu bwana harusi awe bonge utuchambe kidogo
Koh Koh mmewaona hiv Hawa wanaenda kualalaje huko ndani vigelegele tafadhali![]()
Mc coca
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app



Huyu hajali,,,,akishachamba tu,roho yake kwatuuuuu,hata kama usipomlipa.
Sent using Jamii Forums mobile app




yaan bila kumchamba mtu sijisikii poaaa, nahisi kuumwa umwa,SababishaMjomba hadi wewe unanipanga?![]()
Yaan na tarumbeta litakuwepo, stak iwe ya kishua sana.![]()
Nenepa kidogo bhanaJamani unataka ninenepe mpaka nipasuke? 🙈🙈