Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Sijawahi kukuona ukiwa umeelemewa. Hata wapaniki vipi unakwenda nao tyuuh taratibu jomoniii eee. Huwa nakushangaa sana!
nacheka km mwehu. Kuna mtu aliwahi nambia PM eti mie sio binadamu wa kawaida, mbna siko emotional

Anasema hata nipanikishwee vipi au nichukizwe ndo kwanzaa nafurahi na kuchekaaa. Sasa jaman na nyuma ya Keyboard nioneshe emotionals? Pengne ktk maisha halis mie ndo niko emotional kuliko hata wanavyofikiri.

 
nacheka km mwehu. Kuna mtu aliwahi nambia PM eti mie sio binadamu wa kawaida, mbna siko emotional

Anasema hata nipanikishwee vipi au nichukizwe ndo kwanzaa nafurahi na kuchekaaa. Sasa jaman na nyuma ya Keyboard nioneshe emotionals? Pengne ktk maisha halis mie ndo niko emotional kuliko hata wanavyofikiri.

Kwa kweli mbele ya baobonye (kiibodi) una kipaji cha aina yake. Kama uko hivyo na mubashara basi ungefaa sana kuwa mwanajeshi tena special forces
 
Back
Top Bottom