So sad ndo mwezi huu
Utarecover tu dear amini tu hivyo
Mwanzoni huwa si rahisi , muda utakupa jawabu sahihi .
Uchungu wa msiba hauzoeleki na unakuwa nao siku zote . Ni almost miaka saba toka mama aniache ila maumivu yapo tu siku unakaa unamkumbuka weh then life inaendelea tuh
Tatizo unajitahidi, kwa Mungu huwa hatujitahidi, kwa Mungu huwa tuna jisalimisha na kufungua moyo na kukaa magotini pake ila kama unajitahidi ni ngumu kumuona Mungu, ila kama uta jilasimisha kwake Mungu anaujaza, niliondokewa na mzee baba, nili sturgle kichizi maana alikuwa kila kitu kwangu sijawai kupendwa duniani kama na mzee baba, zile moments ambazo nilikuwa nae zilikuwa zinanifanya hadi kama nachanganyikiwa so picha yake mda wote ilikuwa kichwani kila siku namuota hadi nilikuwa kama nimechizi sometime naongea mwenye... but msaada wa kiungu tu ndio ilitoa hapo maana sometime nilikuwa hadi nawish kufa.. Fungua Moyo kwa Mungu muambie umeshindea huwezi kitu simpe prayer ambayo ina imani inabadirisha kila kitu