Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,717
- 98,376
Hivi huwa mnaenda location unamlipia then unapiga picha. It means na photographer unamlipa pia akufuate location, au?Nimetoka hapo, camera man ananambia ila wee mtu utakuja ufie location. Yaan mie location huniambii kitu.
Kuna sehemu hivi tulikuta iko bembea ya ringi km wimbo wa vanessa mdee cash madame, pale lazima nikajifotoe, ngoja nikusanye pesa kwan.
Na location panakutoa vizuri mnoo!!Nimetoka hapo, camera man ananambia ila wee mtu utakuja ufie location. Yaan mie location huniambii kitu.
Kuna sehemu hivi tulikuta iko bembea ya ringi km wimbo wa vanessa mdee cash madame, pale lazima nikajifotoe, ngoja nikusanye pesa kwan.
kabisa ile Jackie Chain mbona akasome best!!Kuna nilizopitwa za kutosha
Kuna za ki Jackie Chan nimezikosa bestπππ
Unapambana sanaπNimetoka hapo, camera man ananambia ila wee mtu utakuja ufie location. Yaan mie location huniambii kitu.
Kuna sehemu hivi tulikuta iko bembea ya ringi km wimbo wa vanessa mdee cash madame, pale lazima nikajifotoe, ngoja nikusanye pesa kwan.
Leo tupo hapoUnavyopenda sasa hizo mada
Mkimaliza hiyo mnakuja na ipi
Msisahau tu kuselfika
cocastic tunasubiri majibu mujarabu kwaa maswali fikirishiHivi huwa mnaenda location unamlipia then unapiga picha. It means na photographer unamlipa pia akufuate location, au?
Imenipita ila nilipata Airtel
Shangazi karibu lunch asaa ππ
HelowwHapana. Sisi kwetu (baba) ni hawana nywele, utawaonea huruma sasa na wanavyozipenda. Sisi tumerithi kwa kina mama, wao kwao wana asili ya nywele, japo mimi sinaga hata habari na nywele zangu kivile.
Heloww
Fuga nywele bwana weee
Kuna nilizopitwa za kutosha
Kuna za ki Jackie Chan nimezikosa best
We coca tukikaa pamoja ni tatizo,tunafanana kwenye hii hobby aisee!Nimetoka hapo, camera man ananambia ila wee mtu utakuja ufie location. Yaan mie location huniambii kitu.
Kuna sehemu hivi tulikuta iko bembea ya ringi km wimbo wa vanessa mdee cash madame, pale lazima nikajifotoe, ngoja nikusanye pesa kwan.
upunguze emoj tuone vizuri nywele!πNishawahi pitia situation zote kukatika nywele kukata kwa kukusudia na kuweka dawa na sijawahi kuzifuga zikafika 2 yrs kabla sijakata sema sinanywele nying za asili kwetu hamnakituIla atleast naelewa pia napenda kushauri kwa wanaopenda
Niliweka dawa then nikakataView attachment 2216718View attachment 2216719
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Ila ukifuga mbona nywele unazo jamani. Hao aunts zao Kila wanachoambiwa kupaka wanapaka, ila nywele zimewagomea kabisaNishawahi pitia situation zote kukatika nywele kukata kwa kukusudia na kuweka dawa na sijawahi kuzifuga zikafika 2 yrs kabla sijakata sema sinanywele nying za asili kwetu hamnakituIla atleast naelewa pia napenda kushauri kwa wanaopenda
Niliweka dawa then nikakataView attachment 2216718View attachment 2216719
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Duh sijawahi bahatika vochaImenipita ila nilipata Airtel
Ubarikiwe
Jamani jamaniShangazi karibu lunch asaa ππView attachment 2216717
Unalipia location, na unamlipa photographer yes. Sema huyu miw nishakua mteja wake sana, ko huwa sometimes ananifanyia fair tyuuh.Hivi huwa mnaenda location unamlipia then unapiga picha. It means na photographer unamlipa pia akufuate location, au?