Wa ushuani hatuna shida na rangi..hata tukiweka za CCM zinakaa tu.
Shida ni vile Vistoo vyenu vinachagua rangi mno na Kuta zenu za rangi mbili kama wa Heaven Sent
Nafikiri mtu anae kuzaliwa wa kumuheshimu sana ( kwa ufupi mwanamke yoyote wa kuheshimiwa sana awe amekuzaa au hajakuzaa ) wanapitia mengi , kwa ambao tupo sensitive hizi story zenu kama maumivu nayaona mwilini mwangu. Hadi nime skip 🤦♂️.. wengine tukiona mtu anapigwa sindano au ana maumivu , inakuwa akama yanahamia kwangu najikuta na feel the same na muhusika
Nafikiri mtu anae kuzaliwa wa kumuheshimu sana ( kwa ufupi mwanamke yoyote wa kuheshimiwa sana awe amekuzaa au hajakuzaa ) wanapitia mengi , kwa ambao tupo sensitive hizi story zenu kama maumivu nayaona mwilini mwangu. Hadi nime skip 🤦♂️.. wengine tukiona mtu anapigwa sindano au ana maumivu , inakuwa akama yanahamia kwangu najikuta na feel the same na muhusika