Shangazi mm nimepata pimples katk kipind Cha MP zimenikomesha zinaniachia makovu natka nitengeneze coffee scrub Ila sijaelewa namna ya kuchanganya upande wa mafuta coz ninauso wa mafuta pia Nina
Kahawa
Unga wa mchele
Nin kingine kitanifaa kwa usowang wa mafuta nikae sawa
Na usoni huwa natumia Dr rashell face serum pekee
Sent from my Infinix X650B using
JamiiForums mobile app