Selfika na JF: Snap it. Show it

Duh
Utadhani najua sasa rangi


Wa ushuani hatuna shida na rangi..hata tukiweka za CCM zinakaa tu.
Shida ni vile Vistoo vyenu vinachagua rangi mno na Kuta zenu za rangi mbili kama wa Heaven Sent
Rangi mbili Kama shule 🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣emu tuache.

Ndio maana Lenie amesema tutaja pewa mineno…
 
Tunamuangalia tu mtoto wa juzi huyu alikuwa anakatika Nyerere square hana hata nusu pazia.
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ square nilikuwa naenda kupaka rangi na kupiga photoshoot za jero jero.

Ila zamani maisha yalikuwa rahisi sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…