Selfika na JF: Snap it. Show it

Wacha yaan ni hatar. Siku sio nyingi nawakimbia.
Nimekumbuka kuna kipindi nilikwenda Makete; kwa lile baridi niliona Mbeya huwa tunatania kusema kuna baridi. Basi nikarudi zangu Uyole; nikawa nahitaji kitu town one time, nikasema ngoja tu nivae kishifoni hiki, so far kuna kajua na ninakwenda tu na kugeuza chaap. Jamani Ile nimerudi home, kilianza kikohozi hicho; nilikohoa hadi nikahisi nitakohoa na moyo sasa. Sikurudia huo usleikwini
 
Naona mlikuwa mnalinda Uzi usiibiwe
mlilala lkn nduguzangu
Saint Anne Mama Junia wew ni wa kukesha kweli


Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Auntie Junia kichwa kilinikalisha hiki

Nilikuwa najisuka Mdogo mdogo nikawaza nikilala bila kumaliza basi kuchana nywele zilizolala itakuwa kasheshe.
 
Maneno huwa ni fimbo nzuri.
Mtu anaweza kuongea kipole tu ila maneno yake yakakuchoma mno..
Huwezi kumnyosha mtu mzima kwa kumtandika ngumi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…