πππ haimaanishi hamuwezi tofautiana .. kupo ila kuna ile hadi unashindwa tofautisha mwanaume yupi na mwanamke yupi ndio nayo maanisha .. kwenye kupiga siungi mkono .. Na kandoa kachanga tu mwana wa MunguAti nini?
Umeoa Baba Mchungaji?
Binafsi ndoa au mahusiano ya minyukano ya makonde ikiwa kwa Me au Ke.. Hayana maisha marefu na huwa ni kutaabika sana kwa ambae anajipa moyo wa mabadiriko katika upande mmoja. Mwanamke ikifikia hatua ananyoosha hata kofi kwa mwenza wake, basi hayo mapenzi na yafeWanaume wanaopigwa na wake zao wana mkutano kesho kule Kigamboni. Muende huko nao mkawape maneno ya kutia moyo
Kuna msichana mmoja alinipiga ngumi, sijui ni ngumi ile sijui ni kitu gani, alinipiga usoni miwani ikavunjika, daaahhh, aisee nilikunja ngumi kwanza iliyoshiba, nikaivuta nyuma huku nimemshika nguo kifuani, yaani nilivuta ile ngumi iliishia hewani anaiangalia sikumpiga, huku nikiwa na hasira sana, niliondoka machozi yakinilenga kwa ile hasira.Shangazi kuna wavulana, vijana, wasela , na mwanaume . Hakuna mwanaume ( real man ) anaweza mchapa mke makofi na hakuna ubabe kwenye ndoa, kukishakuwa na hali ya ubabe kwenye ndoa jua tu hiyo ndoa haina maisha marefu na hata kama itakuwepo basi ni maumivu kwa upande mmoja. Uanaume sio ubabe , uanaume ni hekima ndio maana kichwa kama kichwa katika familia na hakina hekima tatizo hilo shangazi
Duh! Mahusiano ni kama chemical equation, mkikosa balance kinachotokea mashudu.. Ukifanya uchunguzi wa ndoa na mahusiano kwa miaka hii ya karibuni rudi nyuma kwa 10 10 utapata pucha kamiliKuna msichana mmoja alinipiga ngumi, sijui ni ngumi ile sijui ni kitu gani, alinipiga usoni miwani ikavunjika, daaahhh, aisee nilikunja ngumi kwanza iliyoshiba, nikaivuta nyuma huku nimemshika nguo kifuani, yaani nilivuta ile ngumi iliishia hewani anaiangalia sikumpiga, huku nikiwa na hasira sana, niliondoka machozi yakinilenga kwa ile hasira.
Kuna wanawake huwa wanajaribu kukufanya uwapige au uwatukane muanze kutukanana na hii inasababishwa na baadhi yao wanatokea kwenye mahusiano ya namna hii, unakuta watu waliokuwa nae au familia anayotokea kuna mambo hayo.
niliondoka hatukuonana kwa siku kama 4, hakuwahi kunitukana wala kujaribu kunipiga, nilimfundisha mapenzi sio ngumi wala kutukanana..
Mkuu we acha tu mahusiano yapo very complicated usizungumzie upande mmoja tu.
Waje wajeee
Na kipimo kimojawapo cha uanaume ni kuwa na kifua na kuzuia hasira. Mimi mwanamke akiniudhi sawa sawa natoka nje kupunga upepo na kama tuko nje basi naondoka kidogo. Wala sisemi wala kufanya cho chote. Halafu tutaongeleshana vizuri baadaye mambo yakiwa yamepoa.Kuna msichana mmoja alinipiga ngumi, sijui ni ngumi ile sijui ni kitu gani, alinipiga usoni miwani ikavunjika, daaahhh, aisee nilikunja ngumi kwanza iliyoshiba, nikaivuta nyuma huku nimemshika nguo kifuani, yaani nilivuta ile ngumi iliishia hewani anaiangalia sikumpiga, huku nikiwa na hasira sana, niliondoka machozi yakinilenga kwa ile hasira.
Kuna wanawake huwa wanajaribu kukufanya uwapige au uwatukane muanze kutukanana na hii inasababishwa na baadhi yao wanatokea kwenye mahusiano ya namna hii, unakuta watu waliokuwa nae au familia anayotokea kuna mambo hayo.
niliondoka hatukuonana kwa siku kama 4, hakuwahi kunitukana wala kujaribu kunipiga, nilimfundisha mapenzi sio ngumi wala kutukanana..
Mkuu we acha tu mahusiano yapo very complicated usizungumzie upande mmoja tu.
Mungu Akasimamie kandoa kako Baba Mchungaji. Naamini ulichagua vyema na kwa subira sana na Mungu Akakupa hitaji la moyo wako. Mbarikiwehaimaanishi hamuwezi tofautiana .. kupo ila kuna ile hadi unashindwa tofautisha mwanaume yupi na mwanamke yupi ndio nayo maanisha .. kwenye kupiga siungi mkono .. Na kandoa kachanga tu mwana wa Mungu
Hapo ni murder case.Duh! Mahusiano ni kama chemical equation, mkikosa balance kinachotokea mashudu.. Ukifanya uchunguzi wa ndoa na mahusiano kwa miaka hii ya karibuni rudi nyuma kwa 10 10 utapata pucha kamili
Ebu vuta picha ungempiga ngumi alafu akaanguka akafa ingekuwaje π π
Nikija kwako utanifungulia code?
βοΈππUlishaona wangapi madikteta?
Nina marafiki wengi Wasukuma nawajua in and out na ni mifano mizuri sana katika ndoa zenye amani na maelewano. Mimi mwenyewe na miaka yangu hii 76 sijawahi hata kumfinya mwanamke na hata maeksi zangu wote tuliachana kwa upendo na amani sana; na mpaka leo baadhi yao bado tunasadiana katika ishu za hapa na pale.
Wasukuma wababe nadhani ni kizazi cha baba zetu kinachomaliza muda wake hiki. Hawa vijana wa sasa wengi angalau wamesoma na kidogo wanajua mambo. Labda tatizo ni nyinyi mabinti wa kisasa wasomi ambao hata hamjui nafasi ya mwanamke na mwanaume ni ipi katika nyumba. Full uanaharakati na kudai usawa uliopitiliza kimo. Usawa wenyewe hata mkipewa bado unawashinda. It is like you want to eat your cake and have it too. Na hii ndo sababu kuu wengi wenu hamuolewi sababu ya uanaharakati, usomi na kujifanya mnajua kila kitu. Hata mkiolewa mnaachika kwa sababu hamuwezi kuheshimu majukumu ya mume katika nyumba na kutimiza majukumu yenu kama wake.
Hakuna mwanaume mkorofi mbele ya mwanamke mwenye mutual respect na anayejua wajibu na majukumu yake na ya mume ndani ya nyumba; na kuyaheshimu.
Kizazi chenu hiki kimevurugwa ndo maana hata ndoa hazina maana tena. Na kila upande unautupia mpira upande mwingine.
Turudi kwa Mungu tuelewe lengo lake hasa la kuanzisha ndoa lilikuwa ni nini. Vinginevyo ni vurugu tupu na bila ndoa zenye amani na upendo, hakuna familia bora na matokeo yake jamii nzima inaangamia.
Mungu na Atusaidie kwa kweli!
Pole ulikuwa unampenda eehHapo ni murder case.
Sema huyo mtoto hatonisahau, ni manzi alikuwa na career yake nzuri tu, mahusiano yalikufa tokana na umbali, maisha mzee daahh..
Ni muda mrefu sasa ummepita lakini nilikutana nae mwaka jana, alinishukuru sana kwa jinsi nilivyokuwa nampa care, i wish ningefanya zaidi lakini ndio hivyo, ilikuwa nje ya uwezo wetu.
Naamini ana furaha huko aliko.
Ni kweli mkuu.Na kipimo kimojawapo cha uanaume ni kuwa na kifua na kuzuia hasira. Mimi mwanamke akiniudhi sawa sawa natoka nje kupunga upepo na kama tuko nje basi naondoka kidogo. Wala sisemi wala kufanya cho chote. Halafu tutaongeleshana vizuri baadaye mambo yakiwa yamepoa.
Sema sasa kuna wanawake wakorofi aisee. Akianza kuongea hanyamazi hata ufanyeje. Hata ukijifanya kuondoka ukirudi unakuta moto uko pale pale. Hawa ndo inabidi uwe mwangalifu sana kwa sababu unaweza kuishia kuua bila kukusudia na njia bora ni kupiga chini tu kimoja liwalo na liwe. Mi mwanamke anipe tu amani basi. Yaani nitoke kazini na kichupa changu cha mvinyo na kizawadi chake tukae zuliani jioni tunywe kwa raha zetu basi. Kama kuna ishu tunaziongea kwa amani na heshima zinaisha, tunasameheana na kusonga mbele. Lakini makelele kila siku aisee hapana. Hata kama ni mzuri kumzidi Boss Lady napiga chini tena bila kuangalia nyuma kamwe!
Yeah! Inaonekana bado ana maumivu. Nadhani karibu sote tuna mtu wa aina hiyo. Mtu ambaye japo mambo hayakwenda kama yalivyotakiwa kwa sababu mbalimbali zikiwemo utoto na kutoyajua maisha sawasawa lakini bado tunaamini kuwa pengine wao ndiyo walikuwa watu sahihi kwetu. Ila ndo hivyo tena hakuna la kufanya!Pole ulikuwa unampenda eeh
Hata ile ngumi ambayo sikumpiga ni kwa sababu nilimzimia mno, ye mwenyewe alijua siku hio nina feeling gani juu yake, ogopa sana mtu mzima unaondoka machozi yanakulenga.Pole ulikuwa unampenda eeh