Selfika na JF: Snap it. Show it

It's got me thinkin' that her leavin'
Is the only logical reason
That I got the last spot in the Hooters' parking lot
And the waitress left her number on my check with a heart
She picked up on the first ring when I gave her a call
 
Oooh mirija ya damu kutoka kwenye moyo ilivyoziba,walinikataza nisitumie mafuta aisee, nilipata tabu,lakini nilishazoea

Chai kwa asali
Mboga kwa nazi au chukuchuku

,,msosi bila wese haunogi babu


Sent using Jamii Forums mobile app
Pole sana mjukuu. Naamini ulishapona na kuondokana kabisa na tatizo hilo...

Ndiyo. Mafuta mengi siyo mazuri (hasa kwetu wahenga) japo vyakula vilivyokaangizwa ndo vitamuuu. Mara moja moja siyo mbaya lakini....

Nina daktari mkorofi hapa na mafuta pekee ninayoruhusiwa kutumia kwenye vyakula ni haya. Akiona cholesterol imepanda hata kwa point moja tu basi nitanuniwa hata mwezi. Hovyo tu!

 
Been to Hooters bro?

They serve decent burgers, chicken wings and fries; and the waitresses are always gorgeous

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…