Selfika na JF: Snap it. Show it

Hakikisha kuna totoz za kutosha

Alaf bomba si bado linatoa maji au lilishafungwa??
😂😂😂 watakuwepo, watoto wa IAA tena


Bado lipo… 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 nimecheka hadi basi…
 

[emoji1301][emoji1301]nasubiri [emoji2][emoji2]
 
Ila code zisiwe za kuumiza kichwa jamani na usisahau kum tag shangazi yako....
Baadae mbna, nyiee chimbo leo kutamuu.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan watu hadi wajue mbivu na mbichi, kisa kutaka kuroga limbwata, kufika kaambiwa wee ashakuharibu kitamboooo

Jaman mie sitaki. Khaaaah. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Jukwaa la celebrities au wapi ?
Mimi sitembei sana humu
Celebrities kulee dea, baadae.

Tupo hapa tunamsihi mtu wetu, maana anataka kumuumbua mheshimiwa public, nyie Dunia ina mambo hii khaaa.

Mtoto wa watu anatuma voice notes kaliaa wee had saut imekata, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Duh!!!hatari.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…