What I thought was gonna be the death of me was my saving grace
It's got me thinkin' that her leavin'
Is the only logical reason
That I got the last spot in the Hooters' parking lot
And the waitress left her number on my check with a heart
She picked up on the first ring when I gave her a call
Kwani hana Ndugu wakike jamaa na marafiki we mpambe kha!!
Mwakani nina mpango wa kutotoa ka last born sasa nikiwaza mzazi kukosa michemsho ya nyama ngachoka!! Na huku niliko samaki kupatikana kwake ni balaa tupu!
Ndio juzikati tu ndio imeanza !nilienda wakanipa mavidonge fulani hivi naona bado nataka niende hospital nyingine nione! Mi mwenyewe chakula changu kikubwa kilikua mchemsho sipendagi vya kuunga unga sana mie sasa hapo nakomaje!! ya kuku hadi niikaange kauuu walau!
Kwani hana Ndugu wakike jamaa na marafiki we mpambe kha!!
Mwakani nina mpango wa kutotoa ka last born sasa nikiwaza mzazi kukosa michemsho ya nyama ngachoka!! Na huku niliko samaki kupatikana kwake ni balaa tupu!
mimi huku kwingine naona poa tu maharage dagaa mboga za majani na matunda kwa wingi.. kasheshe kwenye uzazi ila ikigoma sitakua na namna mbona Kuna ambao hawali nyama na wanajifungua buana!!(Tatizo mazoea Mtoto wa kwanza na wapili ilikua fureshi tu)🤣🤣
Kwani hana Ndugu wakike jamaa na marafiki we mpambe kha!!
Mwakani nina mpango wa kutotoa ka last born sasa nikiwaza mzazi kukosa michemsho ya nyama ngachoka!! Na huku niliko samaki kupatikana kwake ni balaa tupu!
mimi huku kwingine naona poa tu maharage dagaa mboga za majani na matunda kwa wingi.. kasheshe kwenye uzazi ila ikigoma sitakua na namna mbona Kuna ambao hawali nyama na wanajifungua buana!!(Tatizo mazoea Mtoto wa kwanza na wapili ilikua fureshi tu)