Mawardat
JF-Expert Member
- Apr 27, 2021
- 25,900
- 136,567
Umetamka vizuri
Nilitingwa mchumba.Mchumba upo kimya?au unaanda maanjumati?
C
Tumenyimwa sura
Tukapewa hogo la jang'ombe
Kwa ile staili yako
Nikuzamishie mzigo
Au bhas





unataka nitapike shahawa au?Nilikachambaa katoto kadogo kanataka kusumbua wakubwa zakesis nimecheka had watu wananiona chizi hapa, eti ulimchambaa. Woiiiiiiiih.
Kunjunjana, kna mtu alikua ananiita "njunja" kisa nazungumzia sana mapenzi lol.






Eid Mubarak.Niboo
Kunjunjana, kna mtu alikua ananiita "njunja" kisa nazungumzia sana mapenzi lol.![]()







looohYaani sijui hata huwa wanawaza nini watuNiwajulie wapi dear
Nilikaa hostel nikiwa first year tu baada ya hapo nikaenda kukaa za nje huko
Kha sasa hayo ni mambo ya ajabu kweli
nilisikia tu hii kwa room za wanaume sikujua hata kuna ke wanafanya hivi .
Hao wakaka hawakukuona nongwa?Nilikachambaa katoto kadogo kanataka kusumbua wakubwa zake
Nikawaambia hivi nyie mnadhani nyie ndo wa kwanza kujua mapenzi dunia nzima??
Wazazi wenu wanajua watoto wapo shule kumbe mnafanya ujinga tu!
Kama hamuwezi kutoka wenyewe Kwa amani basi ngoja nimwite Suma awatoe.
Kuna hadi nyumba vya elfu 15 huko mjini ila wameng'ang'ana tu kukera watu hostel...aisee sipendagi ujinga.
Kila jambo linatokea Kwa sababu...huenda Mungu alikuwa ananiandaa kuvumilia kero hapa duniani.





.