Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Halafu kinachonipiga exile ni kifirst year
Yule mtoto baadaye shule ilimnyoosha.

Sema nilikuwa sishindi rum .na nikirudi nawatoa ndukii..
Nilikachambaga hako kajingaa kenzake..nilikachambaa..hakakurudia Tena.
Eti alitaka alale mule rum hadi asubuhii aiseee palichimbika.
🤣🤣🤣🤣🤣😂😂 unaondoka unawapisha zako kupepusha Majaribu ya rejareja😜 ! 🤣😂😉!
 
Halafu kinachonipiga exile ni kifirst year
Yule mtoto baadaye shule ilimnyoosha.

Sema nilikuwa sishindi rum .na nikirudi nawatoa ndukii..
Nilikachambaga hako kajingaa kenzake..nilikachambaa..hakakurudia Tena.
Eti alitaka alale mule rum hadi asubuhii aiseee palichimbika.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3] sis nimecheka had watu wananiona chizi hapa, eti ulimchambaa. Woiiiiiiiih.
 
Sina mtoko[emoji23]

Pilau/biriani mama ndo anapika[emoji3]

Sent using Jamii Forums mobile app
Yaan nimekimbia pale home, yule dada leo katuamulia khaaah.
Kuku 5, mazaga sasa, yaan leo pale sikanyagi mapema ntapoteza utu wangu bureee, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sio kwa M mwera yule, hii Eid kaipania khaaaah. Harufu ya marashi sasa mweeeeh.
Duuuuuh.
 
Yaan nimekimbia pale home, yule dada leo katuamulia khaaah.
Kuku 5, mazaga sasa, yaan leo pale sikanyagi mapema ntapoteza utu wangu bureee, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sio kwa M mwera yule, hii Eid kaipania khaaaah. Harufu ya marashi sasa mweeeeh.
Duuuuuh.
[emoji23][emoji23][emoji23]na midundo,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Halafu kinachonipiga exile ni kifirst year
Yule mtoto baadaye shule ilimnyoosha.

Sema nilikuwa sishindi rum .na nikirudi nawatoa ndukii..
Nilikachambaga hako kajingaa kenzake..nilikachambaa..hakakurudia Tena.
Eti alitaka alale mule rum hadi asubuhii aiseee palichimbika.
Mchumba upo kimya?au unaanda maanjumati?
 
Back
Top Bottom