Aaliyyah
JF-Expert Member
- Mar 20, 2022
- 19,988
- 48,486
Mbona ghafla Sana hujatuandaa mawifi tumpokee uliemfolo huyo

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Mbona ghafla Sana hujatuandaa mawifi tumpokee uliemfolo huyo

Huko nilishapita mkuu...Napenda hii nyimbo tuMbona ghafla Sana hujatuandaa mawifi tumpokee uliemfolo huyo
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app

Na pia una kaukali fulani hivi mtu akikuzingua. Kuna siku nilikuzingua makusudi tu yaani halafu ulipokasirika nikajisikia vibaya. Mi nami sometimes yaani dah!
Hamna naongea japo si sana










Na pia una kaukali fulani hivi mtu akikuzingua. Kuna siku nilikuzingua makusudi tu yaani halafu ulipokasirika nikajisikia vibaya. Mi nami sometimes yaani dah!![]()
Nani kasema wewe dada yangu? Ila usijali sweety, tatizo life!Dah mkuu kweli unagombaniana hizi vocha na sisi dada zako![]()















Fureeesssshhh Wige!✌️Mambo![]()
Yanii bora umekuja palipwaya sana hapa!!furahi shouzzz angu, yaan nikiwepo wee lazima ufurahi tyuuh.
Good morning boss ladycoca ni chizi!!! Akili zake anazijua mwenyewe!
Morning too friend!Good morning boss lady
You are missed
Usisahau kuselfika
Nkamu wewe mjanja sanaso fasta ukaangalia profile
![]()
Hee😃Nani kasema wewe dada yangu? Ila usijali sweety, tatizo life!![]()
Hapana nkamu Wala sijaview profile
Kuna siku niliona mnajadili humu kuhusu hizo birthday na Karma nadhani ..akasema mmepishana siku 2.
Ulitaja tarehe![]()
nilishasahau huo mjadalaShouzzz achaga uongo wako, akati natokaga hapa ili watu wafurahi, maana naambiwa nikiwepo hapa watu wanakereka na kuboeka,Yanii bora umekuja palipwaya sana hapa!!
Kuna mtu kaniambia hivi, "wee akili zako zinajisett kulingana na wakati husika, hazieleweki"coca ni chizi!!! Akili zake anazijua mwenyewe!





Selfika bhana shouzzzz, km sivyo natembea uchi kutoka JF had FB,Morning too friend!
Tatizo kamera yangu inazingua kweli sikuhizi Ndiomana.






