Jack Palladino
JF-Expert Member
- Feb 24, 2018
- 7,245
- 22,552
Naomba namba yake nkamuKitambaa sina uhakika ila nna fundi wangu yupo uswahili unachokiona ndiyo anakutolea ni vile tunaogopa kujulikana ningekupa no ila yupo vizuri sana sana unachompelekea ndiyo anakutolea na hana bei
Mie pia
Unasemaje dogolas?Saint Anne
Tuonane pm
Very urgent
Plizzz

Ubarikiwe sana mkuu! Heri yake aliyeiwahi!!Selfika na tigo
*104*544404827114187#
Watu washapita nayo 😂Selfika na tigo
*104*544404827114187#
NipigieUnasemaje dogolas?![]()
Naomba namba yake nkamu
Ndio nakwambia! Walahi, hivi uko Arusha vile? Usiniambie uko Dar!Wee usiniambie![]()
AsanteNitakutumia PM nkamu wangu
Mkuu usiwe na khofu!Unafanya nini Nansio? Si ajabu unawinda wajukuu zangu tu huko
Na ukijichanganya huko mamba atatumwa aje akudabue hata kwenye kikombe cha maji ya kunywa...















Mkuu usiwe na khofu!Unafanya nini Nansio? Si ajabu unawinda wajukuu zangu tu huko
Na ukijichanganya huko mamba atatumwa aje akudabue hata kwenye kikombe cha maji ya kunywa...














