Mawardat
JF-Expert Member
- Apr 27, 2021
- 25,948
- 136,701
Mie sina neno,uwanja wakotupingeine alafu uone moto wetu...tunawapakata vizuri kabisa wachumba..
Muda unaongea

Nasubiri kuona alizeti zinavyochakatwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Mie sina neno,uwanja wakotupingeine alafu uone moto wetu...tunawapakata vizuri kabisa wachumba..

Uzuri mnakula hizi ✌️Huwezi kuacha Jf labla ubadili id nyingine 😬😬
Jiandae mapema na mazoezi ufanye 😎😎😎
Mie sina neno,uwanja wako
Muda unaongea
Nasubiri kuona alizeti zinavyochakatwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa zilipendwa au dear exJiandae mapema na mazoezi ufanye 😎😎😎
Tutaona,leo sitizami mpira kabisa nazima data,

Mnakula hizi 2 - 1 kajilaze tu mwenyewe kwenye machela kabla hujalazwa hakuna namna zaidi ya kula 2Tutaona,leo sitizami mpira kabisa nazima data,
Maana nisjejikuta nipo kwenye machela
Sent using Jamii Forums mobile app
😂😂😂Tutaona,leo sitizami mpira kabisa nazima data,
Maana nisjejikuta nipo kwenye machela
Sent using Jamii Forums mobile app
Sitaki presha,nikimaliza kufturu tu kulala
,sijui usingizi nitapata Mnakula hizi 2 - 1 kajilaze tu mwenyewe kwenye machela kabla hujalazwa hakuna namna zaidi ya kula 2






utakuja ufute hizi comment zako
Mimi mwenyewe sifuatili leoSitaki presha,nikimaliza kufturu tu kulala,sijui usingizi nitapata
Sent using Jamii Forums mobile app

Sema nije na ya rangi gani.. ukijiandaa kula 11 zako 😅😅😅Sawa zilipendwa au dear ex
Kawaida tu mkuu!!
Nitakule maji tukumwagie ili uzinduke sahahu nyie kushinda
Mimi mwenyewe sifuatili leo
Nikisikia makelele huko nje najua goli tayari hapa![]()


mie sifuatilii,nitajua tu kupitia kelele. Simba au ni yanga
Nitakule maji tukumwagie ili uzinduke sahahu nyie kushinda











mpira bado ujue
Tupo wengi hahaha

..mnakufa mbili, jiandae tu kisaikolojia