Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

UPENDO UNASEMA..

" Siwezi kukuhaidi kuwa nitakutatulia matatizo yako yote, ila nachokijua ni kuwa hautakabaliana nayo peke yako, tutakuwa pamoja katika shida na raha".

"Hatutataka kusikiliza story nzuri za kimapenzi kutoka kwa watu wengine ..bali tutaitengeneza sisi wenyewe".

"Ninapokuwa na wewe jambo kubwa naloomba ni kumwambia Mungu kuyagandisha masaa ili niendelee kuspend muda nikiwa na wewe"

"Nilipomuomba Mungu kuniletea mtu nitakaempenda siku zote za maisha yangu ulikuja wewe"

"Siku zote furaha yako itakuwa kipaumbele changu"

"Pamoja na wewe tutatengeneza mahusiano imara na yenye kuvutia"

"Wewe ni sehemu ya furaha yangu, nitajitahidi kuitunza furaha hii siku zote"

"Utakuwa sehemu ya maombi yangu kila siku maana nitapenda kukuona ukiendelea kuwa pembeni yangu siku zote.

Single boys msije na makasiriko...

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Siku zote furaha yako itakuwa kipaumbele changu

Sawa kabisa

Sasa ukininyima mbususu

Nitakufurahia vipi
 
IMG-20220428-WA0366.jpg
IMG-20220428-WA0368.jpg
 
Back
Top Bottom