Nyani Mzee Snr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2021
- 12,122
- 42,758
Nilikabidhiwa Biblia kubwa rasmi nilivyoenda shule secondary .
Huku nyuma nilikuwa natumia Biblia ndogo almaarufu kama Agano jipya.. ensign hizi za Sunday school.
Hongera pia,itunze.
Mimi ni heri nimpe mtu hela akanunue Biblia ila siyo kumpa Biblia yangu.
kha! 🥸🥸Hapo nimemalizana
Na mbususu ya Dar
Naiwahi ya Moro
Hapo bado mipango Dom
Kuna ya Nzega
Hapo naenda wapi
Kigali au Mwanza
Kuna Kahama na Runzewe
Usisahau Shinyanga pale
Ibinzamata
Nikirejea Dar sina hata mia mbovu
Walimu wa Sunday school watakuwa nazo.Hizo biblia ndogo zenye agano jipya na zaburi nitazipata wapi hivi kwa sasa maana ile unaenda nayo kila sehemu .
Oooh Asante ..hakika bibilia ni mwongozo maishani mwetu .
Tulikuwa tunagombania Biblia ya Mzee ni nzuri ina pande mbili kiswahili na kingereza .. nimefanikiwa kuipata aisee![]()
Ooh sawa Asante .Walimu wa Sunday school watakuwa nazo.
Enzi hizo walikuwaga wanazigawa shuleni.
Mimi nyumbani nilikuwa nazo nyingi nyingi
Umefuraaahi

Zaburi inaupiga mwingiOoh sawa Asante .
Nazipenda sana
Zaburi ni kitabu pendwa kwangu .

Kwa Pepo sikufurahia...Umefuraaahi![]()
Zaburi wala huwezi kuamini kuwa kama mtunzi wake alikuwa bahariaZaburi inaupiga mwingi
Mimi napenda zaidi Mithali.
Sijui ntazikutaga wapi hizi Biblia
Enzi hizo Mzee wangu alikuwa ananiletea akitoka kwenye mikutano yao ya Sinodi.





Natamani siku moja nifike Kigali...Hapo nimemalizana
Na mbususu ya Dar
Naiwahi ya Moro
Hapo bado mipango Dom
Kuna ya Nzega
Hapo naenda wapi
Kigali au Mwanza
Kuna Kahama na Runzewe
Usisahau Shinyanga pale
Ibinzamata
Nikirejea Dar sina hata mia mbovu








Sasa si unitafute tu uniulize mwenyewe kuliko kukisia tuKwa Pepo sikufurahia...
Ila kwa kamanda Baba Mchungaji nimefurahi ndiyo.....
Na ole wako uje unisahau kwenye mnuso!
Hata kama ni baada ya miaka 10....
Kama nitakuwa hai....
Nikuulize nini tena?Sasa si unitafute tu uniulize mwenyewe kuliko kukisia tu



Zaburi inaupiga mwingi
Mimi napenda zaidi Mithali.
Sijui ntazikutaga wapi hizi Biblia
Enzi hizo Mzee wangu alikuwa ananiletea akitoka kwenye mikutano yao ya Sinodi.
Nami nitakaa nyumbani mwa Bwana😊Zaburi ni nzuri sana maana inakuweka karibu na Mungu na unahisi uwepo wake kabisa .
Mithali ina mafundisho mazuri sana , yanatuyojenga maisha yetu kama wakristo .
Nakumbuka sisi tulikuwa tunapewa shule wakija kwa ajili ya huduma .. zimepotea sijaziona muda .


.Amiiiin Auntie wa Junia🥰🙏UPENDO UNASEMA..
" Siwezi kukuhaidi kuwa nitakutatulia matatizo yako yote, ila nachokijua ni kuwa hautakabaliana nayo peke yako, tutakuwa pamoja katika shida na raha".
"Hatutataka kusikiliza story nzuri za kimapenzi kutoka kwa watu wengine ..bali tutaitengeneza sisi wenyewe".
"Ninapokuwa na wewe jambo kubwa naloomba ni kumwambia Mungu kuyagandisha masaa ili niendelee kuspend muda nikiwa na wewe"
"Nilipomuomba Mungu kuniletea mtu nitakaempenda siku zote za maisha yangu ulikuja wewe"
"Siku zote furaha yako itakuwa kipaumbele changu"
"Pamoja na wewe tutatengeneza mahusiano imara na yenye kuvutia"
"Wewe ni sehemu ya furaha yangu, nitajitahidi kuitunza furaha hii siku zote"
"Utakuwa sehemu ya maombi yangu kila siku maana nitapenda kukuona ukiendelea kuwa pembeni yangu siku zote.
Single boys msije na makasiriko..
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Kigali kuna Irrizar Lusaka to Jo'burg