Iceberg9
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 26,743
- 51,163
Mpaka asubuhi utakua sawa
Mpaka asubuhi utakua sawa
Wewe zako si unafutaNataman kukuona ujue
hebu weka sahiviThanks rafiki kwa kujali🙏🏽Mpaka asubuhi utakua sawa
Umeweka picha umetoa au macho yangu jamani kama ni yako upo vizuri sana, shemeji yangu anafaidi sanahaya.
Kuna marafiki ambao hatutakiwi tuwaache hata kama tutakuwa na vyeo hii hadithi ya Daniel inafundisho nzuri.Nimeipenda![]()
Ndio mpendwa
Nakunywa kahawa hapa nikuweke na yakoThanks rafiki kwa kujali![]()
Chai yenye mchanganyiko wa tangawizi itapendeza 🙏🏽Nakunywa kahawa hapa nikuweke na yako
Nimeweka na kutoaUmeweka picha umetoa au macho yangu jamani kama ni yako upo vizuri sana, shemeji yangu anafaidi sana


Umenena vyema sana, ukiacha kujifikilia na kuanza kuwafikiria watu waliokaribu yako Mungu atafanya mengi mazuri juu yako, mpende jirani yako kama......Kuna marafiki ambao hatutakiwi tuwaache hata kama tutakuwa na vyeo hii hadithi ya Daniel inafundisho nzuri.
Sawa sawa cha kudekaChai yenye mchanganyiko wa tangawizi itapendeza![]()
naweka tea masala 

amka basi unyweNgoja na mimi.maana unanisumbua sana, nami niweke nakutoa nafuta kabisa, naweka iliyo ya zamani kidogoNimeweka na kutoa![]()

Ulijuaje kama nadeka mimi nikiumwa ni kero kwa anayeniuguza😬Sawa sawa cha kudekanaweka tea masala
amka basi unywe
Unadhani naweza kulala Kwa kula vile viandazi?Jana
Ulikula vimaandazi
Halafu wali
Ilikuwa jumanne
Usinifanyie hivyo bwanaNgoja na mimi.maana unanisumbua sana, nami niweke nakutoa nafuta kabisa, naweka iliyo ya zamani kidogo![]()
Aisehhhhh kumbe kahawa leo imenifanya nikuone ningelala ningekuonea wapi u are beautiful shemeji huko anatakiwa aombe ulinzi