Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,383
Hapo sawa angalau...
Asante Mama Mchungaji

Hapo sawa angalau...

Nakumbuka Primary Ile mitihani ya joint, kuna ticha wa shule jirani alikuwa pisi afu ana sauti nzuriii; badi wavulana kila saa kuomba wasomewe vizuri maswali eti hayaonekani fresh kwenye pepa. Watoto wa kiume...Yani watoto wamevurugwa hatari..Sasa form 6 sasahivi ndio huwaambii kitu !
Kweli ntarudi hapa after 4/5 hrsMakubaliano?
Usinifanyie hivyo basi Mama Mchungaji bana dah!
Mi sitakuwepo bana...Kweli ntarudi hapa after 4/5 hrs
Hivi wanafunzi wako wa kiume kweli huwa wanakuelewa ukiwafundisha na hiyo shepu yako Boss Lady?![]()

hapo ndo watapotamani watu kurudi shule kufundisha na madam 

Kunawatu humu wanatamani wawe wanafunzi wakoMsukuma Kazini sitaki shida nawatu navaa nguo zisizokwaza mtu kabisa!


kwa mudaNitakusubiri hadi muda utakaokujaMi sitakuwepo bana...
Akianzisha tuisheni ya Kemia mi nitajiandikisha liwalo na liweKunawatu humu wanatamani wawe wanafunzi wakokwa muda
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app


hali mbaya chiefUhali gani
Tumia mkorogoKabisa nimeona wivu sura ivokua softiiiiiuu mie nimejaa mapele balaa
Dah!Nitakusubiri hadi muda utakaokuja







Ahsante Mtumishi. Njozi njema kwakoDah!
Haya Mama Mchungaji...
Kawe na siku njema....![]()
Ukachanganye chemical na madamAkianzisha tuisheni ya Kemia mi nitajiandikisha liwalo na liwe![]()



Hahaa Washendweeeee in mama mchungajis name😉😉!!Kunawatu humu wanatamani wawe wanafunzi wakokwa muda
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Nini shida kamandahali mbaya chief
Tumia mkorogo
Yani wakiamua kuanzisha fujo ni fujo haswaa! Sasa olevo ni mixa advance wanavojisevia vibinti vya olevo mungu wangu!!Nakumbuka Primary Ile mitihani ya joint, kuna ticha wa shule jirani alikuwa pisi afu ana sauti nzuriii; badi wavulana kila saa kuomba wasomewe vizuri maswali eti hayaonekani fresh kwenye pepa. Watoto wa kiume...
Umri huo ni shida aiseeYani wakiamua kuanzisha fujo ni fujo haswaa! Sasa olevo ni mixa advance wanavojisevia vibinti vya olevo mungu wangu!!
Hahaa...hapo ndo watapotamani watu kurudi shule kufundisha na madam
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Nkamu umekwenda "kwetu" ?